Kufuatia kauli ya mhe. Rais Magufuli kuwa kuna baadhi ya viongozi wana tamaa ya kuto kuridhika na walicho nacho haswa ma RC, DC Na ma DED kutaka nyadhifa ZA juu zaidi ni fundisho tosha Kwa walio sikua, kweli hata mimi nasema hiyo ni tamaa na siku zote mtaka yote hukosa yote.
Kuna watanzania wengi tu hawana kazi wewe Mungu amekujaalia umeupata ukuu wa mkoa au wilaya au ukurugenzi bado tena unataka ukawazibie wenzako kwenye nafasi ya ubunge duh!! Hii ni tamaa ya fisi!! Na chini ya awamu ya Rais Magufuli mtachezea kichapo! Na kama tabia hii ikiachwa ikajengeka Kwa kigezo cha demokrasia kila mkuu wa mkoa, wilaya au Mkurugenzi watakuwa wanajijenga Kwa malengo ya kugombea ubunge badala ya kutumikia wananchi, asante JPM Kwa kuliona jambo hilo Na kulikemea wenye masikio wameelewa.
Nafasi mnazo teuliwa Na Mh Rais sio za kujiimarisha Na kujijenga kisiasa bila ni nafasi ya kutumikia wananchi Kwa nguvu zako zote, utendaji wako mzuri ndio mtaji wako wa badae, tunaamini kila jambo anapanga Mungu.
Kuna watanzania wengi tu hawana kazi wewe Mungu amekujaalia umeupata ukuu wa mkoa au wilaya au ukurugenzi bado tena unataka ukawazibie wenzako kwenye nafasi ya ubunge duh!! Hii ni tamaa ya fisi!! Na chini ya awamu ya Rais Magufuli mtachezea kichapo! Na kama tabia hii ikiachwa ikajengeka Kwa kigezo cha demokrasia kila mkuu wa mkoa, wilaya au Mkurugenzi watakuwa wanajijenga Kwa malengo ya kugombea ubunge badala ya kutumikia wananchi, asante JPM Kwa kuliona jambo hilo Na kulikemea wenye masikio wameelewa.
Nafasi mnazo teuliwa Na Mh Rais sio za kujiimarisha Na kujijenga kisiasa bila ni nafasi ya kutumikia wananchi Kwa nguvu zako zote, utendaji wako mzuri ndio mtaji wako wa badae, tunaamini kila jambo anapanga Mungu.