Be clear, specify your objective[ s].Jamani mbunge sugu anapendwa sana mbeya na mimi pia nampenda sana ingawa si mkazi wa jimbo hilo ila kuna wasiwasi kwenye mchakato wa 2015 watu wachache wakashindwa kumpa kura yeye na wakampa mtu mwingine ndani ya cdm,wote tunaelewa jimbo la mby mjini ni la chd hata kama watasimamisha kisiki kipambane na ccm basi ccm itashindwa,kwa hiyo sugu kwa muda uliobaki ajitazame kwani watu wanampenda na pia manunguniko yao anayajua so anaweza kujisafisha vizuri.
Hiyo ni hali halisi ya jimboni kwa mr two proud,anapendwa sana sana
wich is wich?
Wananchi wa Mbeya ni waelewa sana hawawezi kutoa judgement za kijinga. Mh. Sugu anapigania ukombozi wa taifa lote.Kuna malalamiko ya hapa na pale ambayo anaweza kuyarekebisha ,kwamba ofisi anafunga muda mrefu na kubandika karatasi nje eti yuko nje kikazi,mtu wa kumsaidia mbunge ni msanii mwenziwe na muda mwingi ofisi inafungwa,na bungeni eti anaongea usaniii tuu hatetei watu wa mbeya ,halafu la yeye kuachia chama mkoa kukijenga yeye akiwa nje zaidi ya mkoa, akitafuta credit za kisiasa kwa viongozi, nadhani akitulia haya mambo yanaweza kunyooshwa tu na yeye mwenyewe bado upepo upo kwake lakini japo manung'uniko yanakwenda kwa kasi ya moto wa upepo
Be clear, specify your objective[ s].
Which is which.
Jamani mbunge sugu anapendwa sana mbeya na mimi pia nampenda sana ingawa si mkazi wa jimbo hilo ila kuna wasiwasi kwenye mchakato wa 2015 watu wachache wakashindwa kumpa kura yeye na wakampa mtu mwingine ndani ya cdm,wote tunaelewa jimbo la mby mjini ni la chd hata kama watasimamisha kisiki kipambane na ccm basi ccm itashindwa,kwa hiyo sugu kwa muda uliobaki ajitazame kwani watu wanampenda na pia manunguniko yao anayajua so anaweza kujisafisha vizuri.
Hiyo ni hali halisi ya jimboni kwa mr two proud,anapendwa sana sana