Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Cuf ilikwishakufa siku nyingi huku bara na limebaki jina tuJamani alieona vizuri matokeo ya CUF aniambie mimi sijaona vizuri hapo!
Cuf ilikwishakufa siku nyingi huku bara na limebaki jina tuJamani alieona vizuri matokeo ya CUF aniambie mimi sijaona vizuri hapo!
Tuweni na ubinadamu kidogo jamani kha!! Shetani gani huyo? Kweli wenzako wanalia kwa kufariki kwa mpendwa wao wewe unakuja na threads za kutaka jimbo? Mods naomba kwa heshima ya JF hii thread ifutwe.