Ubunge A. Mashariki: Imekuaje Shyrose Bhanji jina lake halipo?

sonaderm

JF-Expert Member
Nov 9, 2015
618
1,816
Ebana hebu tujuzane kwa nini jina la mh. Shyrose Bhanji jina lake halijaonekana katika majina 12 ya watakaopigiwa kura bungeni kuiwakilisha Tz kwenye bunge la A. Mashariki?

Huyu dada namuona kama mchapa kazi na amejitahidi kuiwakilisha vyema Tz hasa kwa kupeleka miswada 2 ikakubalika..Au alikumbuka shuka wakati kumekucha? Maana kwa stori za mtaani huwa tunasikia mengi juu yake..
 
Ebana hebu tujuzane kwa nini jina la mh. Shyrose Bhanji jina lake halijaonekana katika majina 12 ya watakaopigiwa kura bungeni kuiwakilisha Tz kwenye bunge la A. Mashariki?

Huyu dada namuona kama mchapa kazi na amejitahidi kuiwakilisha vyema Tz hasa kwa kupeleka miswada 2 ikakubalika..Au alikumbuka shuka wakati kumekucha? Maana kwa stori za mtaani huwa tunasikia mengi juu yake..
She is not with them :::::::
 
Ebana hebu tujuzane kwa nini jina la mh. Shyrose Bhanji jina lake halijaonekana katika majina 12 ya watakaopigiwa kura bungeni kuiwakilisha Tz kwenye bunge la A. Mashariki?

Huyu dada namuona kama mchapa kazi na amejitahidi kuiwakilisha vyema Tz hasa kwa kupeleka miswada 2 ikakubalika..Au alikumbuka shuka wakati kumekucha? Maana kwa stori za mtaani huwa tunasikia mengi juu yake..
Angeongea na mwenye chama Daudi Albert Bashite mapema wala jina lake lisingekatwa!
 
Huyo ni mlevi na huwa anapigana akiwa amelewa ndani ya ndege..
Kiusalama ameonekana anaweza kuja kuleta ajali mbaya bora asichaguliwe.
Hayo majungu sasa..Mkuu alishakataza kuongelea personalities, kama anapiga kazi basi APIGE KAZI:D:D:D:D
 
Ebana hebu tujuzane kwa nini jina la mh. Shyrose Bhanji jina lake halijaonekana katika majina 12 ya watakaopigiwa kura bungeni kuiwakilisha Tz kwenye bunge la A. Mashariki?

Huyu dada namuona kama mchapa kazi na amejitahidi kuiwakilisha vyema Tz hasa kwa kupeleka miswada 2 ikakubalika..Au alikumbuka shuka wakati kumekucha? Maana kwa stori za mtaani huwa tunasikia mengi juu yake..

Kwani ni yeye tu anastahili?Tubadilike...haya ndio mambo tunayotakiwa kuyapinga...kwani aliandikiwa kuwa mbunge milele?Wapo wengi sana wenye sifa...sijaona cha ajabu yy kukatwa.
 
mmeanza MAJUNGU na kama hakupita kwenye mchujo au kaamua mwenyewe kutokugombea tena?
 
Ebana hebu tujuzane kwa nini jina la mh. Shyrose Bhanji jina lake halijaonekana katika majina 12 ya watakaopigiwa kura bungeni kuiwakilisha Tz kwenye bunge la A. Mashariki?

Huyu dada namuona kama mchapa kazi na amejitahidi kuiwakilisha vyema Tz hasa kwa kupeleka miswada 2 ikakubalika..Au alikumbuka shuka wakati kumekucha? Maana kwa stori za mtaani huwa tunasikia mengi juu yake..
Wawakilishi wa kila nchi wanatakiwa kuhudumu kwa mihula miwili (2) tu kama wakibahatika kufanya hivyo. Shy-rose tayari ameshatimiza jukumu hilo
 
Huyo atakuwa alikuwa team EL.....

Si unajua kila aliyekuwa team mamvi kwa huko CCM ni mtu hatari mithili ya mhaini?
 
Sifa zile zile zilizowatoa wengine aliposhindwa, ndio zilezile zimewapitisha wengine! Walikuwa zaidi ya mia nne, hamna haja ya kwa nn mm! Ukisema kwa nn mm, usisahau pia kusema kwa nn asiwe yule!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom