Ubovu wa combination mpya ya CBM

Sima70

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
427
317
Mwaka jana nilishangaa ilipoanzishwa comb wpya ya CBM.

Nilishangaa kwa sababu zifuatazo;

1. Muhimbili hawataki mtu anbaye hajafaulu physics hivyo kusoma CBM kunakuondoa sekta ya afya

2. Engineering inahitaji mtu aliyefaulu physics, hivyo kusoma CBM kunamkosesha mtu sifa ya kuwa engineer

Kwa sababu hizi, watakaosoma CBM watasoma nini chuo kikuu?

Nnashaka yakatokea ya mwaka 2005 pale waziri alipotengeneza somo jipya eti "Physics with Chemistry"

Nawasilisha mada wakuu.
 
CBM sio mpya ilikuwepo 1970s baadae ikaondolewa. wanaweza kusoma MD kama kawaida, yupo Mzanzibar mmoja amemaliza MUHAS 2011 alisoma CBM
 
science ni pana sana mkuu haiishii kwenye medicine na eng. pekee. vile vile wanaweza kusoma hata coz za biashara kama tunavyoona watu walisoma pcm, pcb, egm nk wanavyosoma business adm , accounts, nk
 
Mwaka jana nilishangaa ilipoanzishwa comb wpya ya CBM.

Nilishangaa kwa sababu zifuatazo;

1. Muhimbili hawataki mtu anbaye hajafaulu physics hivyo kusoma CBM kunakuondoa sekta ya afya

2. Engineering inahitaji mtu aliyefaulu physics, hivyo kusoma CBM kunamkosesha mtu sifa ya kuwa engineer

Kwa sababu hizi, watakaosoma CBM watasoma nini chuo kikuu?

Nnashaka yakatokea ya mwaka 2005 pale waziri alipotengeneza somo jipya eti "Physics with Chemistry"

Nawasilisha mada wakuu.

wewe kisa umesoma physics kwa hyo unataka kila mtu asome 2 physics imebuma hiyo
 
hebu acha uongo kwan muhimbil wanatoa docterate tuu? No reseach no right to speak mbulula wewe!

Asante Mkuu, sijazoea matusi na si jadi yangu, soma kwenye red kisha jipime! halafu soma hapo kwa itallics! Inapendeza daima kuwashauri wadogo zetu wa fight for first class professions, mtu ambaye anaweza kusoma CBM naamini atakuwa na uwezo wa kusoma physics na akafaulu, ila ukimpa ushauri mbaya ndo ata opt kusoma hiyo combination ya CBM ambayo future yake ipo narrow!
Katu sitamshauri mtu afanye kitu au jambo ambalo future yake ipo unclear!
 
La muhimu ni taasisi za elimu kufikiria kwa mapana.

Sioni uhusika wa Physics kwa mtu wa Medicine. Engineering nayo ni pana, sishawishiki na sioni uhusika wa Physics kwenye Chemical Engineering.

By the way, unawaongeleaje watu waliosoma PCM (hawajawahi hata kusikia Commerce, Bookkeeping au Economics) wakaenda chuo na kuchukua BCom na kukimbiza vilevile. Kuna rafiki yangu alisoma PCB akaomba sheria na akapata.

Nashauri vijana wasome masomo wanayopenda na ambayo wanaona watafaulu vizuri. Kwa wale wa sayansi, ukishafaulu vizuri jua unawigo mpana wa kuchagua ufanye degree katika nini.
 
nakumbuka mwenge boys nilivyosota na pcb leo nasoma computer eng,hiv unafikir kila mtu anataka kuwa docta we kilaza?
 
Na hata ualimu uhitaji kuwa na combination ya Physics na hasa kama ni mwalimu wa masomo hayo kwenye hiyo combination.:disapointed:
 
Back
Top Bottom