Ubora wa Mbegu: Jee Wangapi Wanaitambua TOSCI?.

Ubora wa Mbegu: Jee Wangapi Wanaitambua TOSCI?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
58,886
Reaction score
132,158
upload_2017-8-10_6-24-2.jpeg
Wanabodi,

Kwanza naomba kukiri kuwa mimi sio mkulima, ila kilimo kinanihusu, kama kinavyomhusu kila Mtanzania.

Wangapi wanatambua uwepo wa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu nchini Tanzania, TOSCI?.

Jiunge nami, kufahamu vizuri kuhusu Taasisi hii ya TOSCI ni nini na majukumu yake ni yepi?.

Ushiriki waTaasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu, TOSCI Kwenye ...
▶ 18:51


Huu ni ushiriki wa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu, TOSCI Kwenye Maonyesho ya Kilimo ya ..
Huu ni ushiriki wa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu, TOSCI KwenyeMaonyesho ya Kilimo ya ...

Karibu.
Paskali
 
Udhibiti wao unaishia mbegu tu za kilimo au na mifugo pia?
 
Mimi naisikia hapa chief.

Hizi kampuni ilitakiwa ziwe maarufu miongoni mwetu kiukweli haswa kwa nchi ambayo ndiyo kwanza inahangaika na sera za kukipandisha juu kilimo.

Wajiongeze wasingoje Nane Nane tu ndiyo wajitokeze.
 
Hizo taasisi zipo tu lakini msaada wake kwa wakulima ni zero, yani wakulima ndio waitafute taasisi badala ya taasisi kujiweka karibu na wakulima kama ilivyo madhumuni ya uwanzishwaji wake.
Hakuna tofauti na mkukuta na mkurabita hapo , bonge la majina lakini wananchi hata awajui zinashugulika na nini...masikini kodi zetu
 
Back
Top Bottom