mashey mash
Member
- Feb 12, 2017
- 32
- 7
Jameni wakuu,
Ningependa tujadili swala hili kwa umakinifu bila kupendelea upande wowote, hivi kati ya Africa ya mashariki na ya magharibi ni ipi iko katika nafasi nzuri kujiendeleza kimaendeleo ukizingatia uchumi na teknolojia kwa siku zijazo.
Ningependa tujadili swala hili kwa umakinifu bila kupendelea upande wowote, hivi kati ya Africa ya mashariki na ya magharibi ni ipi iko katika nafasi nzuri kujiendeleza kimaendeleo ukizingatia uchumi na teknolojia kwa siku zijazo.