Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,744
- 152,619
Asante kwa maneno ya kumuongezea chaji kamanda vitani.Baharia hakati tamaa kizembe
Asante kwa maneno ya kumuongezea chaji kamanda vitani.Baharia hakati tamaa kizembe
ahaha kwanza nitafune mkuu
Wakatii mbayaa Sanaa huu vijana wenzanguuuEwe kijana wa kiume usitamani mbunye usiyojua historia yake...
Kuchomeka chomeka hovyo mtaishia kuzamisha mashine zenu kwenye mzinga wa nyuki wadogo...
Asante kwa maneno ya kumuongezea chaji kamanda vitani.
Mkuu Ni wewe tu na unyanyapaa wako.siku hizi HIV imekuwa rahisi ivo hadi vidonge viwekwe peupe ivo yaani unaingia chumbani unavikuta (kwamba ni mapambo).
akanambia ana HIV kwamba unyanyapaa umeisha kiasi hicho hadi akwambie kizembe ivo.
kifupi unamtaka sema una hofu anaweza kuwa kawaka ndo unaleta stori kujifariji
siku hizi HIV imekuwa rahisi ivo hadi vidonge viwekwe peupe ivo yaani unaingia chumbani unavikuta (kwamba ni mapambo).
akanambia ana HIV kwamba unyanyapaa umeisha kiasi hicho hadi akwambie kizembe ivo.
kifupi unamtaka sema una hofu anaweza kuwa kawaka ndo unaleta stori kujifariji
utakuwa uliona igizo la bongo movie ndo wana matukio ya namna iyo ila kwa hali halisi jumlisha uelewa wetu mdg UKIMWI hauji fika iyo hatua ya kuombana dawa.Mkuu Ni wewe tu na unyanyapaa wako.
Watu wanaombana dawa pale mwingine anaposahau ndio uogope?
Amka mkuu, ukimwi sio kifo.