fimbombaya
Member
- Apr 11, 2011
- 47
- 12
kumekuwa na maneno mengi kabla na hata baada ya mechi kati ya yanga na toto africans jumapili kuwa timu hizi ni baba na mwana kiasi cha kupelekea mechi hiyo kutokuwa na ushindani wa dhati hasa kipindi cha pili hali iliyopelekea magoli ya kupeana kufanya ubingwa uende kwa yanga. hebu waliopata kushuhudia mechi hii mtujuze hali halisi ilikuwaje?