Kiwanda cha bia TBL na kiwanda cha sigara havijawahi kuendeshwa kwa hasara. Actually hata kuna wakati Mwalimu alisema kuwa serikali ilikuwa inategemea zaidi kiwanda cha bia kwa fedha za matumizi yake. Tatizo la kiwanda cha bia lilikuwa ni management na si hasara. Bia ilikuwa haiivi na supply ilikuwa haikidhi demand. Actually walichofanya Makaburu baada ya akina Mwinyi kuwauzia ni wali flood soko la bia Tanzania na bia zao Castle, na hapo ndipo walipopata fedha za kukarabati mitambo ya TBL. Kaburu hakuweka hata senti tano ya Afrika kusini katika TBL wakati wa ubinafsishaji. Hii inaonyesha jinsi soko la bia Tanzania lilivyokuwa kubwa. Hata kama kilitoa kodi ya bilioni moja wakati huo. hakikuendeshwa kwa hasara na kilisaidia kuendeshea matumizi ya serikali na faida ilikuwa inaingizwa serikalini. Eniwei, umeshakumbatia uwekezaji na ubinafsishaji sitaki kukuondoa huko. Lakini ukweli hubaki pale pale.
Kiwanda cha bia TBL na kiwanda cha sigara havijawahi kuendeshwa kwa hasara. Actually hata kuna wakati Mwalimu alisema kuwa serikali ilikuwa inategemea zaidi kiwanda cha bia kwa fedha za matumizi yake. Tatizo la kiwanda cha bia lilikuwa ni management na si hasara. Bia ilikuwa haiivi na supply ilikuwa haikidhi demand. Actually walichofanya Makaburu baada ya akina Mwinyi kuwauzia ni wali flood soko la bia Tanzania na bia zao Castle, na hapo ndipo walipopata fedha za kukarabati mitambo ya TBL. Kaburu hakuweka hata senti tano ya Afrika kusini katika TBL wakati wa ubinafsishaji. Hii inaonyesha jinsi soko la bia Tanzania lilivyokuwa kubwa. Hata kama kilitoa kodi ya bilioni moja wakati huo. hakikuendeshwa kwa hasara na kilisaidia kuendeshea matumizi ya serikali na faida ilikuwa inaingizwa serikalini. Eniwei, umeshakumbatia uwekezaji na ubinafsishaji sitaki kukuondoa huko. Lakini ukweli hubaki pale pale.
- Then tukubaliane kwamba sera ya kuuza mashirika na viwanda ilikuwa sawa kimsingi, sasa waetekelezaji nini kosa la Mkapa kwa hoja yako mkuu? Je tulitegemea Rais wa Jamhuri aache kazi zake wka taifa akasimamie ubinafsishaji?
- I mean ninakubaliana na wewe kwamba kuna makosa makubwa yaliyotokea kwenye the process, lakini still the outcome bado no progressive sio kama the process isingfanyika!
William.
unauza njia kuu za uchumi then unategema nchi kupaa kiuchumi?
ktk dunia hii sijawahi ona nchi iliyoendelea kwa kuuza viwanda vyake,haipo mahali popote pale,yaani serikali inauza mashirika ya umma na viwanda vyake ili ijikite ktk ukusanyaji kodi na hata ktk ukusanyaji kodi bado unampa mwekezaji miaka mitano ya majaribio na kumlipiza TSH 250/H kt ardhi then unategemea utatoka ktk umasikini,haiwezekani hata siku moja
Prof. Shivji aliwahi kupewa u RDD (Regional Development Director) katika Mkoa wa Rukwa enzi za Mwalimu, akachemka.
Bahati mbaya si rahisi sasa kumdanganya mtwana anaeguswa na athari za maamuzi ya kipuuzi na hasa anapojua haki zake.
1. Mwinyi was a disaster
2. Mkapa was a calamity
3. JK is both a disaster, a calamity and a liability
4. CCM is the devil himself engineering all the above
My uncle Willy you a right product of the above
- Katika dunia hii sijawahi kuona taifa liliondelea kwa serikali yake kumiliki viwanda na mashirika, ila nimeona mataifa yakiendelea kwa kukusanya kodi tu! na kusimamia sheria!
William.
nakupa mfano mdogo sana
china
serikali inamiliki china mobile,china unicom,usafirishaji wa reli,barabara na majini,viwanda(baadhi inamili kwa 100% na baadhi imeshare na wawekezaji)
nimekupa mfano mdogo sana
- Mkuu nimewahi kuishi Shanghai, China wana utawala unaoheshimu Sheria hakuna mahali wanamiliki 100% anything katika hayo mashirika machache ambayo Serikali yao imeamua kwamba ni lazima yawe chini ya serikali, infact hata US shirika la post na amtrack Train, bado yapo chini ya serikali na ni baada a mabunge ya nchi zao kuamua kwamba hayo mashirika machache walioyaacha under serikali yakipewa private wananchi watateseka sana,
- Otherwise sio hata 1% ya mashirika yote ya mataifa yao, hiyo inakubalika ninaamini hata sisi bado tuna umiliki mkubwa kwenye posta yetu, hilo wala sio ishu mkuu!
William.