Ubinafsi huu CCM mpaka lini Watanzania?

Ubinafsi huu CCM mpaka lini Watanzania?

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Jk aendelea kuivuruga CCM katika uchaguzi huu kwa Ubinafsi, wivu na majungu.

1).kikwete amempa kijana wake aitwaye Miraji tenda ya kuprint tshirt zote za kampeni, hii imesababisha mvutano mkubwa wa kimaslahi na hasa baada ya kuonekana upendeleo wa dhahiri katika tenda hiyo.

2).UVCCM waliomba milioni 500 kwa ajili ya media coverage kipindi chote cha kampeni,badala yake Akina Nape na Mangula wameipa kazi hiyo clouds, hii sio tu dharau kwa jumuiya nyeti kama hii ndani ya chama chetu bali ni udikteta na umungu mtu ndani ya CCM kuendelea kushamiri.

Badala UVCCM kupewa kiasi hicho cha pesa kwa ajili ya kampeni, amepewa Ruge kwa kuwa yupo karibu na familia ya Kikwete afanye kazi hiyo ya kampeni kupitia clouds huu ni mwendelezo wa dharau za Kikwete kwa CCM

CCM ya leo ni ya Ridhiwani, Kikwete na mama Salma hii ni aibu kwa chama kikubwa kama hiki na haijawahi tokea tangu CCM izaliwe

Kikwete anapaswa kufahamu CCM ni mali ya wanachama wote na uenyekiti wake una mwisho.

Ila kwa kuwa watanzania wengi ni malofa na wapumbavu kama alivyosema mkapa jana jangwani CCM itaendelea kuongoza daima

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

MUNGU IBARIKI TANZANIA

MUNGU IBARIKI AFRIKA
 
Nishawahi kusema ni aheri ya kulewa pombe kuliko kulewa madaraka
 
attachment.php
 
Hali inavyo endelea CCM sio nzuri bora nihamie ukawa mapema maana Familia nzima CCM nimebaki peeke yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom