Duh mbona povu hivyo? Usihofu bajaj hamtakosa wateja. Inaonesha hata kusoma hujui,haya nakuwekea hapa chini.Hawawezi kuweka bei... Mawakala tu hao... Hawanajipya kama mnapanda kwa bei poa tufanyaje sasa mnataka mbebwee kichwani....
Bajaji tumetulia hakuna kijigambaa kindezii... Uber haiwez kufanya kazi dar na mwendokac labda mpite ktk barabara za mwendo kac na hamuwezii...
Kwa tanzania ipo dar tu...Wekeni picha ya "UBER" ili wamikoani ambao hawaijui waijue sasa...wamechoka na stori za maneno
dowload huko .ila bajaji nyingi naona hazijajisajili ukitaka kuwaita haipo hata moja aroundWako wapi?
Mzee wa al.hajii tekinooDuh mbona povu hivyo? Usihofu bajaj hamtakosa wateja. Inaonesha hata kusoma hujui,haya nakuwekea hapa chini.View attachment 684305
Kuna kipindi wanakuwa kwenye promotion ndo maana charges zinakuwa ndogo sana na kipindi hiki wapo kwenye promo i think leo inaisha......Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.
Wewe Utakuwa unafanya biashara ya Bajaji au Bodaboda.Hao wanaosema buku c mawakala wa uber... Mwanzon walikua ivo ili wateja muwe wengii sasa hivi mpo wengi kweli... Maana watanzania mnapenda ganda la ndizi...
Sasa hivi hakuna mnabisha tu... Na sumatra wanakuja maana uber haileweki n Tax au private car.. Ngoja cku itokee ajali Cjui bima gani itawa cover
Mnaongea tu kuipamba uber kumbe yaleyale bora bajaji...
Kama mnabisha fungua app ya uber screenshot tuone bei zake... Msiongee kiboya wanabei tu kama ya bajaj tena bajaji unaweza ata kukopa..
...hebu geukia mjini nisome dizaini ya hiyo jeans;Kuna kipindi wanakuwa kwenye promotion ndo maana charges zinakuwa ndogo sana na kipindi hiki wapo kwenye promo i think leo inaisha......
Mimi mara nyingi natumia sana uber nishapata trip mpaka za 1500 kwaajili ya promotion na juzi hapa nilikuwa sehemu but kila nikiita uber naambiwa hamna mpaka baade ndo nikapata tena ambayo ilikuwa kwenye trip after kuisha ndo ikanifata mimi,nikawa naongea na dereva wa uber akasema kwa siku hiyo madereva wengi walizima data kwasababu ya promotion
Na kweli mimi nilichargiwa elfu 3 nikaamua kumpa 5000
Mjini ndo wapi tena...hebu geukia mjini nisome dizaini ya hiyo jeans;
.dadeq
..mkono wako wa kuume a.k.a kuliaMjini ndo wapi tena
Sio mimi huyo so kugeuka itakuwa shida..mkono wako wa kuume a.k.a kulia
...basi japo tuseme wote kwa pamoja,Sio mimi huyo so kugeuka itakuwa shida
Mashaallah...basi japo tuseme wote kwa pamoja,
..mashaAllah!