The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,475
- 6,859
Niende kwenye mada moja kwa moja,
Siku za nyuma tuliamini bajaj baadae ikaja bodaboda na daladala ndio waendesha hovyo barabarani .
Lakini sasa hivi toka wamekuja hawa uber nao limekuwa tatizo lingine ukiona umeongozana na hizi gari tegemea haya:-
kupunguza mwendo gafla bila sababu,
Kusimama gafla bila tahadhar,
Kukata kona bila hata kuindicate hayo ni baadhi tu ila wanasababisha ajari sana .
Ushauri hiyo kampuni iwe inawapa mafunzo madriver wao nadhani muda mwingi wanaendesha huku wanaangalia simu zao.
Siku za nyuma tuliamini bajaj baadae ikaja bodaboda na daladala ndio waendesha hovyo barabarani .
Lakini sasa hivi toka wamekuja hawa uber nao limekuwa tatizo lingine ukiona umeongozana na hizi gari tegemea haya:-
kupunguza mwendo gafla bila sababu,
Kusimama gafla bila tahadhar,
Kukata kona bila hata kuindicate hayo ni baadhi tu ila wanasababisha ajari sana .
Ushauri hiyo kampuni iwe inawapa mafunzo madriver wao nadhani muda mwingi wanaendesha huku wanaangalia simu zao.