KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,769
- 4,389
- Thread starter
- #21
Hakika HakikaAnaependa ujamaa ana matatizo ya akili
Ni mtu asiependa uhuru na wajibu binafsi
Wanaopenda ujamaa ni wavivu,wajanja kujificha kwenye kundi la watu
Ujamaa ukiuongelea kijuu juu unapendwa sana ila ni lethal na most brutal way of organizing society