Ubeelink Mini PC

Baba Rhobi

JF-Expert Member
Nov 4, 2020
1,328
2,242
Wakuu habari ya nyie, straight to the point, nna mpango wa kuchukua PC itakayo weza kufanya majukumu yangu ya hapa na pale, main role ya PC yenyewe ni ku browse internet, reading documents na kuangalizia movies, vile vile mimi sio gamer ila PC ikiweza kuplay light weight games ni vizuri, napenda kutumia Adobe premiere pro na After effects.
Kutokana na tight budget nimekutana na hii Mini PC AliExpress naona imenivutia, ila kwakua sio Computer Guru naamini hapa nitapata ushauri wa kina kabla ya kujilipua,
kwakua haina Monitor ningependa mtu anipe recommendation ya monitor ya kutumia ambayo pia haitavunja box, au kama kuna option nyingine pia itakua fresh mbali na hyo mini PC.
NB sijawai kutumia mini PC before wala kumiliki
desktop Computer.
Specs za hyo mini PC ni kama ifuatavyo
RAM 16GB.
SSD 512
Processor ni intel N5105.
Graphic card inatumie integrated GP.
Budget yangu ni 500K.
cc: Chief-Mkwawa na wengine wote.




Screenshot_2023-01-27-11-58-45-880_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
 
Wakuu habari ya nyie, straight to the point, nna mpango wa kuchukua PC itakayo weza kufanya majukumu yangu ya hapa na pale, main role ya PC yenyewe ni ku browse internet, reading documents na kuangalizia movies, vile vile mimi sio gamer ila PC ikiweza kuplay light weight games ni vizuri, napenda kutumia Adobe premiere pro na After effects.
Kutokana na tight budget nimekutana na hii Mini PC AliExpress naona imenivutia, ila kwakua sio Computer Guru naamini hapa nitapata ushauri wa kina kabla ya kujilipua,
kwakua haina Monitor ningependa mtu anipe recommendation ya monitor ya kutumia ambayo pia haitavunja box, au kama kuna option nyingine pia itakua fresh mbali na hyo mini PC.
NB sijawai kutumia mini PC before wala kumiliki
desktop Computer.
Specs za hyo mini PC ni kama ifuatavyo
RAM 16GB.
SSD 512
Processor ni intel N5105.
Graphic card inatumie integrated GP.
Budget yangu ni 500K.
cc: Chief-Mkwawa na wengine wote.




View attachment 2498847
Processor za Intel zimegawanyika mara mbili, zipo za Kawaida hizi pentium gold/i3/i5/i7/i9 na zipo ambazo zimetengenezwa specific kula umeme mdogo kama pentium silver, celeron, silver, Alderlake N etc.

Hii N5105 ni Celeron Silver ya Jasper lake ambayo imekua Designed kutumia umeme mdogo, na perfomance wise si mbaya mkuu, ila mambo ya After effect uongo, itarun ila speed itakua ndogo.

Kwa hii budget sio mbaya, ila uwe una uhitaji wa computer isiokula umeme.

Otherwise kanunue tu desktop ya kawaida yenye core i series ama Ryzen.
 
Processor za Intel zimegawanyika mara mbili, zipo za Kawaida hizi pentium gold/i3/i5/i7/i9 na zipo ambazo zimetengenezwa specific kula umeme mdogo kama pentium silver, celeron, silver, Alderlake N etc.

Hii N5105 ni Celeron Silver ya Jasper lake ambayo imekua Designed kutumia umeme mdogo, na perfomance wise si mbaya mkuu, ila mambo ya After effect uongo, itarun ila speed itakua ndogo.

Kwa hii budget sio mbaya, ila uwe una uhitaji wa computer isiokula umeme.

Otherwise kanunue tu desktop ya kawaida yenye core i series ama Ryzen.
mkuu kwa budget hio naweza pata kweli core i something yenye unafuu kuliko hio.
 
mkuu kwa budget hio naweza pata kweli core i something yenye unafuu kuliko hio.
Mtaani used ndio, ukitafuta vizuri unapata i3 gen ya 8 na Change inarudi.

Kwa gen za zamani unapata i5 na i7 na hela inabaki.

Hela inayobaki tafuta gpu kama gt 1030, gtx 750ti ama RX 550 itafanya matumizi yako hayo madogo madogo uliyotaja.
 
Mtaani used ndio, ukitafuta vizuri unapata i3 gen ya 8 na Change inarudi.

Kwa gen za zamani unapata i5 na i7 na hela inabaki.

Hela inayobaki tafuta gpu kama gt 1030, gtx 750ti ama RX 550 itafanya matumizi yako hayo madogo madogo uliyotaja.
Upande wa monitor vipi mkuu, ni sawa kutumia TV kama monitor, kwa budget gani naweza pata 1080p monitor.
 
Natumia N5105 yenye 8GB kama media player, haina shida kwa kucheza video na kufungua tabs kadhaa za firefox, nadhani ndo processor ya bei ndogo zaidi inayoweza kucheza 4K video bila matatizo, kwa kufanya video editing epuka haitafaa, Celeron hazina baadhi ya features zinazowezesha processing iwe na spidi ya kutosha kwenye hizo kazi plus program nyingi za video editing zinategemea zaidi GPU siku hizi.
 
Natumia N5105 yenye 8GB kama media player, haina shida kwa kucheza video na kufungua tabs kadhaa za firefox, nadhani ndo processor ya bei ndogo zaidi inayoweza kucheza 4K video bila matatizo, kwa kufanya video editing epuka haitafaa, Celeron hazina baadhi ya features zinazowezesha processing iwe na spidi ya kutosha kwenye hizo kazi plus program nyingi za video editing zinategemea zaidi GPU siku hizi.
Shukran sana mkuu, unatumia na monitor ya aina gani (Budget yake ikoje hiyo ambayo ni 4K).
 
Shukran sana mkuu, unatumia na monitor ya aina gani (Budget yake ikoje hiyo ambayo ni 4K).
Natumia na TV ya 4K, ila kwa uhalisi 4K content bado ni chache na size hata ya mafaili ni kubwa mno, not worth it mara nyingi.
 
Natumia na TV ya 4K, ila kwa uhalisi 4K content bado ni chache na size hata ya mafaili ni kubwa mno, not worth it mara nyingi.
Samahani kwa kukuchosha mkuu na maswali, hivi naweza kutumia TV kama monitor, bila shida yoyote katika matumizi ya kawaida.
 
Mimi natumia hiyo PC kama media player, so naangalia, movies, netflix , etc.

Kuna watu wanatumia TV kama monitor za computer, technically hakuna tatizo ila kuna hasara na faida zake ukiangalia youtube "TV as monitor" utaona mifano mingi. Personally sipendi monitor iwe kubwa hadi kuhitaji kusogeza kichwa left > right kuisoma, bora monitor 2 za kawaida.
 
Mimi natumia hiyo PC kama media player, so naangalia, movies, netflix , etc.

Kuna watu wanatumia TV kama monitor za computer, technically hakuna tatizo ila kuna hasara na faida zake ukiangalia youtube "TV as monitor" utaona mifano mingi. Personally sipendi monitor iwe kubwa hadi kuhitaji kusogeza kichwa left > right kuisoma, bora monitor 2 za kawaida.
nashukuru sana kwa msaada wako mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom