Ubalozi wa Norway waomboleza na Watanzania kwa kuwapoteza wapendwa wao

Ubalozi wa Norway waomboleza na Watanzania kwa kuwapoteza wapendwa wao

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Ubalozi wa Norway unatoa pole za dhati kwa wote walioathirika na matukio ya hivi karibuni nchini Tanzania.

Tunaungana na familia na jamii zilizopoteza wapendwa wao na pia na wale wote wanaokabiliana na changamoto za kipindi hiki kigumu. Fikra zetu ziko pamoja nanyi, na tunaheshimu kumbukumbu za waliopoteza maisha yao mapema.

Katika nyakati kama hizi, mshikamano na dhamira ya kusaidiana ni muhimu zaidi kuliko wakati mwingine wowote.

Norway inasimama pamoja na Watanzania wote wakati taifa linapoendelea kutafakari, kupona, na kutafuta njia ya umoja na ustahimilivu.


Ubalozi wa Norway unatoa pole za dhati kwa wote walioathirika na matukio ya hivi karibuni nchini.jpg
__________________________

The Royal Norwegian Embassy wishes to express sincere sympathy to everyone affected by the recent events in Tanzania.

We are thinking of the families and communities who have lost loved ones and of all those coping with the impact of these difficult times. Our thoughts are with you, and we honor the memory of those whose lives were taken too soon.

In moments like these, the strength of solidarity and the commitment to support one another become more important than ever.

Norway stands in support of all Tanzanians as the nation reflects, heals, and seeks a path toward unity and resilience.

Ubalozi wa Norway unatoa pole za dhati kwa wote walioathirika na matukio ya hivi karibuni nchi...jpg
 
Ubalozi wa Norway unatoa pole za dhati kwa wote walioathirika na matukio ya hivi karibuni nchini Tanzania.

Tunaungana na familia na jamii zilizopoteza wapendwa wao na pia na wale wote wanaokabiliana na changamoto za kipindi hiki kigumu. Fikra zetu ziko pamoja nanyi, na tunaheshimu kumbukumbu za waliopoteza maisha yao mapema.

Katika nyakati kama hizi, mshikamano na dhamira ya kusaidiana ni muhimu zaidi kuliko wakati mwingine wowote.

Norway inasimama pamoja na Watanzania wote wakati taifa linapoendelea kutafakari, kupona, na kutafuta njia ya umoja na ustahimilivu.


__________________________

The Royal Norwegian Embassy wishes to express sincere sympathy to everyone affected by the recent events in Tanzania.

We are thinking of the families and communities who have lost loved ones and of all those coping with the impact of these difficult times. Our thoughts are with you, and we honor the memory of those whose lives were taken too soon.

In moments like these, the strength of solidarity and the commitment to support one another become more important than ever.

Norway stands in support of all Tanzanians as the nation reflects, heals, and seeks a path toward unity and resilience.

Je kuna tamko lolote toka serikali ya Malawi?
 
Hivi ukiwa wewe ni kiongozi unaona balozi za nchi wahisani zinatoa pole juu ya vifo vya raia wako.
Halafu wew hujatoa hata pole, unajisikiaje?
 
Hatimaye jumuiya za kimataifa zimeanza kuelewa somo, propaganda zote za serikali kuwa waliokufa ni wageni zimepuuzwa.
Zile video na picha zilizozagaa mitandaoni watu wameona ukweli

Sijui nani anamuandikia hotuba Samia,hakupaswa kutoa ile kauli ya kua ni wageni alafu badae ukweli unakuja kujulikana kwa jinsi watu walivyouawa, wakiwa majumbani na kwenye mabanda ya mipira na kahawa
 
Ubalozi wa Norway unatoa pole za dhati kwa wote walioathirika na matukio ya hivi karibuni nchini Tanzania.

Tunaungana na familia na jamii zilizopoteza wapendwa wao na pia na wale wote wanaokabiliana na changamoto za kipindi hiki kigumu. Fikra zetu ziko pamoja nanyi, na tunaheshimu kumbukumbu za waliopoteza maisha yao mapema.

Katika nyakati kama hizi, mshikamano na dhamira ya kusaidiana ni muhimu zaidi kuliko wakati mwingine wowote.

Norway inasimama pamoja na Watanzania wote wakati taifa linapoendelea kutafakari, kupona, na kutafuta njia ya umoja na ustahimilivu.


__________________________

The Royal Norwegian Embassy wishes to express sincere sympathy to everyone affected by the recent events in Tanzania.

We are thinking of the families and communities who have lost loved ones and of all those coping with the impact of these difficult times. Our thoughts are with you, and we honor the memory of those whose lives were taken too soon.

In moments like these, the strength of solidarity and the commitment to support one another become more important than ever.

Norway stands in support of all Tanzanians as the nation reflects, heals, and seeks a path toward unity and resilience.



Uaani wageni wanawaonea huruma Watanzania kuliko Samia na genge lake, wanaowadanganyawatanganyika kuwa eti ni viongozi wao. Hakuna kiongozi hata mmoja wa genge la Samia aliyetoa pole kwa wafiwa wala kulaani uharamia ule wa genge la Abduli wa kuua watanganyika hovyo. Ajabu kweli kweli!
 
Zile video na picha zilizozagaa mitandaoni watu wameona ukweli

Sijui nani anamuandikia hotuba Samia,hakupaswa kutoa ile kauli ya kua ni wageni alafu badae ukweli unakuja kujulikana kwa jinsi watu walivyouawa, wakiwa majumbani na kwenye mabanda ya mipira na kahawa
Hiyo hotuba ya kijinga sana alafu wanafanya makusudi kupotosha Rais
 
Back
Top Bottom