Ubalozi wa Marekani Iraq washambuliwa

US Anaenda Kuondoka Mashariki Yakati Kwa Udhalili MKUBWA Sanaa....

Sent using Jamii Forums mobile app

Aache wizi wa mafuta?
Huyo kibaka haondoki kwa maslahi yake na hajali hata wafe wanajeshi wake wote ili mradi aibe mafuta tu
Na sasa Trump hiyo impeachment inamtafuna kunako kaisha kuwa kama mwehu tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Habari sio confirmed,kwamba Dark prince alikuwemo katika ajali hiyo,mkurugenzi wa CIA Iran desk,
 
Si watoke kwny nchi ya watu????
Hali bado kutengemaa kwenye ubalozi wa USA huko Iraq jana inasemekana ukumbi wa chakula ulishambuliwa kwa rocket.

=====
Rocket attack strikes US Embassy in Baghdad

A rocket attack targeting the US embassy in Baghdad resulted in one rocket striking a dining hall on the compound on Sunday, reports said.

Three rockets were fired at the embassy, a senior Iraqi official told AFP, with one rocket hitting the dining hall and two others landing nearby.

A US official also confirmed to CNN that a rocket hit the dining facility.

The US embassy did not immediately comment. It was not clear if anyone had been injured in the strike.

The head Republican on the House Foreign Affairs committee called the acts “unacceptable.”

“Violent acts against our diplomatic facilities are simply unacceptable,” Rep. Michael McCaul wrote on Twitter.

“We must ensure the safety of American diplomats, troops and other Americans in Iraq.”

Iraqi Prime Minister Adel Abdel Mahdi and Speaker of Parliament Mohammed Halbusi both condemned the incident, according to AFP.

Tensions in the region have been high after a series of strikes, including one the killed head of the Iranian Quds Force Qasem Soleimani


Source: New York Post

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
labda narudia tena labda miaka ijayo huko watanzania tutaacha kuchukua upande either wa US au IRAN, na tutakua tukifikiria kua wakipigana au wakiwa kwenye vita baridi what role should we play such that we will be the benefiters of such conflicts!? au je tunaweza tumia such oppurtunity kugain hata hisa kadhaa za mafuta kutumia akili flani!??.

mtazamo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom