Acha kupotosha umma wewe inaelekea ni moja wa wavivu msiotaka mafunzo haya kwa vijana sasa unatafuta kila sababu ili yafutwe nakuhakikishia hilo haliwezekani kwanza huku makambini nahisi hata hujawahi kutia mguu wako kuna mazingira mazuri kwa watoto wa kike huwa karibu sana na matroni ambao ni walezi wazuri wa watoto wakike lakini pia huakikisha wanapata scale ya mafunzo kama stahiki yao pia kumbuka kifo humfika mtu yeyote popote kwa dada Halima RIP kuwa JKT sio tayari alikua na kinga ya ahadi yake hapana hata majeshini watu hufa kama sehemu zingine kuhusu hilo la ubakaji nikuhakikishie jeshini kuna sharia kali sana zinazohusuana na maswala ya ngono kama ukiona hilo limetokea basi huwa makubaliano ya wawili hasa wavivu ndio huwa asusa kitu ambacho hata huko vyuoni vipo wanakua vilaza madarasani huwa asusa ya lecturers huwa hawabakwi hivi mfano motto wa kike darasani ni mzuri huyo mwl atampatia wapi? na huko majeshini ukimuona mtu ni kiruka njia hata mtaani ni hivyox2 tuache upotoshaji najua kwa wazazi wa marehemu ni ngumu kukubali afu mtoa mada anahitimisha namnukuu JKT ni sehemu ya kupewa mimba na kuambukizwa magonjwa, ndugu muogope MUNGU ni wanafunzi wangapi waliopewa mimba wakiwa mafunzoni? usipotoshe umma hakuna mjamzito anaeweza kuhudhuria mafunzo haya au mgonjwa huna data zozote unakuja kupotosha umma wana jamvi nawashauri tusidanganywe na watu kama hawa huko makambini kumbuka wapo wazazi wenye watoto kama wetu jeshi sio genge la wahuni kuna nidhamu ya hali ya juu pia wana idala ya usalama kuhakikisha vijana wetu wanatendewa haki tuachane na maneno ya kusikia vijiweniKuna habari inayovuma kua kuna wimbi kubwa la ubakaji kwenye kambi za(ya) mafunzo za(ya) JKT kwa wnafunzi waliohitimu KIDATO CHA SITA wanaojiunga kwenye kambi hizo kwa visingizio vya KUWAFUNZA UZALENDO..
Habari hii sasa sio siri tena na mbinu wanayotumia hawa wanaotoa mafunzi kwa dada zetu ni kua;asubuhi wakati bado kuna kiza kinene wanawapeleka watu kwenye mashamba ya kambini na wanawapangia maeneo kwa umbali mkubwa sana kutoka kwa mwingine,baada ya hapo watoto wakike hubakwa na kutishwa endapo watapiga kelele..
Kuna Mwanafunzi anaedaiwa kufariki Tabora baada ya kuzidiwa na mazoezi ya Jeshi, Halima Kitangilwa (20) amezikwa leo Dar,Lakini Baba yake amesema amedanganywa kuhusu chanzo cha kifo lakini ndugu zake waliokuwepo jeshini wamemwambia ukweli(Kua alibakwa hali iliyomsababishia maumivu hadi kufa), analaumu pia hajapewa ripoti ya uchunguzi wa mwili.
MY TAKE:
JKT NI SEHEMU YA KUPEWA MIMBA NA KUAMBUKIZWA MAGONJWA YA ZINAA KWA WATOTO WA KIKE KAMA WANAJESHI WETU HAWAWEZI KUBADILIKA KWA HILI BASI NI HERI WATOTO WETU WASIENDE VYUONI KULIKO KWENDA HUKO KWENYE 'MAFUNZO YA UZALENDO'..
nimekwambia wazi ni kombania yangu na walikuwa rafiki zetu so nimeona michubuko na ikatangazwa walivyorudi, mlalakua ni nini iko mjni ila si ina bustani ina michongoma na kumbuka ni usiku zaidi ya saa 6. Hizi kambi sio safe kwa hiki kipindi cha magonjwa yasiyotibika na maadili yaliharibika. Mimi hayakunikuta na hayakuwa common kwani sie kazi tulizoea toka mashuleni itakuwa hawa wa St nini sijui. Naomba mambo ya siasa tuweke pembeni twende na wakati
Acha kupotosha umma wewe inaelekea ni moja wa wavivu msiotaka mafunzo haya kwa vijana sasa unatafuta kila sababu ili yafutwe nakuhakikishia hilo haliwezekani kwanza huku makambini nahisi hata hujawahi kutia mguu wako kuna mazingira mazuri kwa watoto wa kike huwa karibu sana na matroni ambao ni walezi wazuri wa watoto wakike lakini pia huakikisha wanapata scale ya mafunzo kama stahiki yao pia kumbuka kifo humfika mtu yeyote popote kwa dada Halima RIP kuwa JKT sio tayari alikua na kinga ya ahadi yake hapana hata majeshini watu hufa kama sehemu zingine kuhusu hilo la ubakaji nikuhakikishie jeshini kuna sharia kali sana zinazohusuana na maswala ya ngono kama ukiona hilo limetokea basi huwa makubaliano ya wawili hasa wavivu ndio huwa asusa kitu ambacho hata huko vyuoni vipo wanakua vilaza madarasani huwa asusa ya lecturers huwa hawabakwi hivi mfano motto wa kike darasani ni mzuri huyo mwl atampatia wapi? na huko majeshini ukimuona mtu ni kiruka njia hata mtaani ni hivyox2 tuache upotoshaji najua kwa wazazi wa marehemu ni ngumu kukubali afu mtoa mada anahitimisha namnukuu JKT ni sehemu ya kupewa mimba na kuambukizwa magonjwa, ndugu muogope MUNGU ni wanafunzi wangapi waliopewa mimba wakiwa mafunzoni? usipotoshe umma hakuna mjamzito anaeweza kuhudhuria mafunzo haya au mgonjwa huna data zozote unakuja kupotosha umma wana jamvi nawashauri tusidanganywe na watu kama hawa huko makambini kumbuka wapo wazazi wenye watoto kama wetu jeshi sio genge la wahuni kuna nidhamu ya hali ya juu pia wana idala ya usalama kuhakikisha vijana wetu wanatendewa haki tuachane na maneno ya kusikia vijiweni
Pole kwa waliofiwa lakini lazima tujue kuwa kama ni kufa na MARALIA au ugonjwa wowote yawezekana popote pale hivyo JKT iwe tu sehemu ya kuwafanya watoto wetu WAJENGE TAIFA.
Kuna habari inayovuma kua kuna wimbi kubwa la ubakaji kwenye kambi za(ya) mafunzo za(ya) JKT kwa wnafunzi waliohitimu KIDATO CHA SITA wanaojiunga kwenye kambi hizo kwa visingizio vya KUWAFUNZA UZALENDO..
Habari hii sasa sio siri tena na mbinu wanayotumia hawa wanaotoa mafunzi kwa dada zetu ni kua;asubuhi wakati bado kuna kiza kinene wanawapeleka watu kwenye mashamba ya kambini na wanawapangia maeneo kwa umbali mkubwa sana kutoka kwa mwingine,baada ya hapo watoto wakike hubakwa na kutishwa endapo watapiga kelele..
Kuna Mwanafunzi anaedaiwa kufariki Tabora baada ya kuzidiwa na mazoezi ya Jeshi, Halima Kitangilwa (20) amezikwa leo Dar,Lakini Baba yake amesema amedanganywa kuhusu chanzo cha kifo lakini ndugu zake waliokuwepo jeshini wamemwambia ukweli(Kua alibakwa hali iliyomsababishia maumivu hadi kufa), analaumu pia hajapewa ripoti ya uchunguzi wa mwili.
MY TAKE:
JKT NI SEHEMU YA KUPEWA MIMBA NA KUAMBUKIZWA MAGONJWA YA ZINAA KWA WATOTO WA KIKE KAMA WANAJESHI WETU HAWAWEZI KUBADILIKA KWA HILI BASI NI HERI WATOTO WETU WASIENDE VYUONI KULIKO KWENDA HUKO KWENYE 'MAFUNZO YA UZALENDO'..