Ubahili wa Mpare!

kaka mtu

Member
Nov 15, 2010
17
3
Mpare mmoja alinunua mbuzi kwa ajili ya kitoweo, akamwambia mpishi, Nuthu ya nyama ipike pilau na nyingine itie kwenye Fritha!, kichwa fanya thupu na miguu fanya mchudh chukuchuku!, Ngodhi uthiitupe tutaifanya mkeka, Utumbo pikia ndithi na mifupa tutawauthia wenye mbwa!, Mkia nitengenedhee usinga wa kufukudhia INDHI, kinyethi kihifadhi kwa ajili ya mbolea ya bustani. Mpishi akauliza hutaki na sauti ya mbuzi 2fanye Ring tone ya simu yako?
 
That shows brilliant economic skills,kama tunge practice kwa kila jambo tungeweza ku utilize effectively the available limited resources!
 
Mpare mmoja alinunua mbuzi kwa ajili ya kitoweo, akamwambia mpishi, Nuthu ya nyama ipike pilau na nyingine itie kwenye Fritha!, kichwa fanya thupu na miguu fanya mchudh chukuchuku!, Ngodhi uthiitupe tutaifanya mkeka, Utumbo pikia ndithi na mifupa tutawauthia wenye mbwa!, Mkia nitengenedhee usinga wa kufukudhia INDHI, kinyethi kihifadhi kwa ajili ya mbolea ya bustani. Mpishi akauliza hutaki na sauti ya mbuzi 2fanye Ring tone ya simu yako?

ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaa! mkuu hii nayo kali!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom