watu wote tunaishi kwa bajeti ila hii kiboko.
Mkinga mmoja alitumbikia kwenye kisima cha maji
akapiga kelele,Mkewe akaja na kamba mpya akamrushia,mume akauliza
"umenunua shilingi ngapi"?
Mke "BuKU kwa Mangi"
mume akamwambia "irudishe , kwa Sanga wanauza JERO.
Mkinga mmoja alitumbikia kwenye kisima cha maji
akapiga kelele,Mkewe akaja na kamba mpya akamrushia,mume akauliza
"umenunua shilingi ngapi"?
Mke "BuKU kwa Mangi"
mume akamwambia "irudishe , kwa Sanga wanauza JERO.