Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,746
Hawa ndugu zetu wa visiwani washajua kuwa tunawakumbatia sana ndio maana kujishugulisha hata kielimu washaona tu mtawapa nafasi zao ajira bakini nyie wa bara someni mpaka mkome.
Kama tutaendelea kuwabembeleza nao hipo siku watatueleza wazi kwamba tuachane nao.
Inanishangaza kwenye nafasi za kazi kwao lazima kuwa mzanzibari ila kwetu ni tofauti na anapangiwa mpaka kwenye halmashauri.
Kama tutaendelea kuwabembeleza nao hipo siku watatueleza wazi kwamba tuachane nao.
Inanishangaza kwenye nafasi za kazi kwao lazima kuwa mzanzibari ila kwetu ni tofauti na anapangiwa mpaka kwenye halmashauri.