Si kweli!,Yule mzungu wa Azam alikua na maji ya aina mbili,alikuwa na maji ya kawaida ya Azam na Energy drink ambayo ilikua maalum kwa wachezaji wa Azam tu,Baada ya Mechi kuisha Kazimoto aliomba maji na akapewa ya kawaida ila yeye aliyakataa na kutaka apewe yale waliyokuwa wanakunywa wachezaji wa Azam,Yule Mzungu wa Azam alimnyima,Kuona kanyimwa ile energy drink Kazimoto aka-mind kiasi flani then akaondoka!,Hii nimeiona mwenyewe kupitia Supersport,Jipange mzee!,
Baada ya mpira wa Simba vs Azam kwisha na wachezaji kuelekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Inaonekana picha ya Mwinyi kazimoto anamuomba maji mzungu mmoja wa Azam afu jamaa kamnyima LIVE.
Kama kuna mdau anapicha live embu aiweke jamani hii ni hatari kubwa ya ubaguzi.
khaa aibu kweli simba wanaomba maji duh ndo maana wanapakatwa tu
Baada ya mpira wa Simba vs Azam kwisha na wachezaji kuelekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Inaonekana picha ya Mwinyi kazimoto anamuomba maji mzungu mmoja wa Azam afu jamaa kamnyima LIVE.
Kama kuna mdau anapicha live embu aiweke jamani hii ni hatari kubwa ya ubaguzi.