Ubaguzi CRDB


wewe unaonekana kama mwalimu wa open universtity!!! manake hayo maswali yako hapo chini!!teh, natania tu.
ndugu najua kanda ya ziwa ni kubwa, sijataja wilaya zinazohusika na ubaguzi huo kwa sababu maalum, ninalinda hadhi ya waliotoswa nyumba zao kuchukuliwa. ninajua watu wazima wenye nafasi za juu serikalini watanielewa ninachomaanisha. kumbuka waandishi wa habari walizuiwa kuandika kesi ya rais mstaafu mwinyi kumdai mtu kodi ya pango. haya mmbo yana matokeo yke, vijana wa leo hawatanielewa.
huyo maneja wa mkoa husika alimchana live kozi naye alienda kibosibosi. binafsi lengo lilikuwa kufikisha huu ujumbe sehemu muafaka kupitia jf, natumai umefika. kukiwa na impact ya wazi ntawapa mrejesho.
watumishi wa vyeo vya kati CRDB watakuwa wanajua ninachoongelea hapa, ili wengine wanaopenda changia kila topic hawajui ninachomaanisha.
huo ubaguzi upo sana, na huko lake zone kunamgogoro huo, kama hayakuhusu soma then tulia.
 

ni kweli, lengo lango ni kutaka ziwafikie wenye mamlaka, najua hapa jf zitafika tu.
ndugu ndo wenye nchi hawa, nawaaminia sana manake wakikamata nafasi wanasafisha wengine wanajaa wao tu, wanabebwa na wengi wao kusoma sana. kama huamini mmoja wao apewe wizara yenye least changa workers, njoo assess baabda ya miaka 5, yaani hadi walinzi na wafagizi wote watakuwa wa klm.
hawa ndo wenye nchi, na kama upo makini kinachoitwa mfumo kristo wala cyo upendeleo kwa wakristo, ni upendeleo kwa chaga ambao wengi sana ni wakristo. hii nchi wakristo wengine wanaumia kirahisi. wanakila kitu, toka chama cha siasa,media zote.
 

duh! naona unahasira kweli, wewe lazima utakuwa mwenyeewe, mnabagua kweli. shida yenu hamtaki kuambiwa ukweli, sasa nikiweka jina ndo mmuanze kumchunguza na igp mwema. ila nyie ndo mfumo kristo unaolalamikiwa na waislam. fuatilia waomba ajira, wanamwaga mtaani asume wachaga ni 35%, ila fuatilia baada ya mwaka, wachaga 1% ndo watakuwa hawajaajiliwa ofc za serikali. wale wengine 65% labda 15% ndo watakuwa wameajiliwa serikalini. sasa fuatilia, gpa zetu zote ndo zile za gentlemen.
acheni ubaguzi, mtaipeleka nchi hii vitani.
 

asante, umenisaidia sana. wanaoulizia nimejiunga ln wasome mistari ya mwisho kwenye uzi wangu, asanteni wanajamvi wenzangu. naamini hapa jf ujumbe utawafikia wahusika. pia niwapongeze ndugu zangu wa klm, wengi wamenivumilia hawajanishushia matusi, manake hmumu jf ni wengi ajabu, kama wafuasi wa cdm mwanza.
 
Nenda muhimbili ukaone madokta wanavyowabeba wanafunzi wa kichaga wa medicine au chuo cha ifm

mh! umenikumbusha nilivyokutana na daktari mmoja aliyemaliza muhimbili univesity anavyolalamikia ubaguzi wa wawazi kwa students na wafanyakazi, anadai kuna profesa mmoja idara ya macho anaitwa kinabo, ndo kinala wa upendeleo, wanafunzi wa masters akipita kwake kama ni mchaga ataishiwa kuulizwa roots ya ukoo wao, wala hataulizwa lolote kuhusu macho, na anapewa A. mwingine pita,utajuta kwenda kusoma kozi yao. Bado kule kwenye mabalaza ya kuapruviana kuwa maprofesa, kama siyo mchaga utasota. mfano mzuri walioonja hiyo joto ya jiwe ni prof. abudi wa microbioloji.linganisha na prof kilaza kama prof. matee wa idara hiyohiyo, iq yake medium ila sas uprof kamegewa kitambo sana. pia bado kuna ubanaji mkubwa wa mtu asiye mchaga ambaye ni lecturer pale kupewa PHD kwenye idara hiyohiyo ya microbiolijia.
wanabagua sana students hasa clinical years, hiyo imepelekea wanafunzi watz wenye asili ya india ambao wanatokea kuwa wazuri sana kuishia kuwa na overall GPA ndogo kwasababu ya ubaguzi. mifano hai wanayotolea ni dr. faimu(MUHAS 2009), dr. siptein(MUHAS 2011).
ndugu ukabila wa MUHAS ni donda, taarifa nilizonazo ni nyingi, ntaishia hapo. labda mtu akija ajaribu kubisha ntarudi nitiririke zaidi.
 
Mkuu tumwagie huku tuondoe ukabila kwenye hii nchi

wanajua kutafuta maisha, na wanafanya pia kiharamu. ila wakiambiwa wnafanya kiharamu wanakuwa wakali.
manesi wengi wa vyeti toka huko wanasomea vyeti vya watu, kama hufanyi nao kazi kwa karibu usichangie. ndo ukweli huo. sasa hiyo ni obseversinal. ila kuna mjinga atakuja hapa ananiuliza hebu taja dodoso uliyotumia, umehoji wangapi. ujinga tu, watu wanafikiri wamesoma wao tu.
 
umeona?? mwingine alikuja kukusanya majadala na kajibu wote, kisha kapewa like!!! nilijua kafunga kumbe unaendelea!! Kazi ipo.
 
Tutawachokonoa mpaka mujifahamu tabia yenu
 
nakumbuka hii kauli ya mkuu wa nyumba "kasikazini mtaendelea kusubiri" hii kauli haijamtoka bahati mbaya
 
nakumbuka hii kauli ya mkuu wa nyumba "kasikazini mtaendelea kusubiri" hii kauli haijamtoka bahati mbaya
kweli umesoma hahahaha " obseversinal."
 

Siamini kama kuna siku Wachaga wataacha ubaguzi. Wanazaliwa na roho safi kabisa, tatizo ni makuzi. Wanakutana na watu ambao mafanikio yao yalitokana na upendeleo na kujikuta wanaingia mtegoni.
Ubaguzi wa CRDB ni wa siku nyingi. Mikopo ya mahoteli ilikuwa ni kwa ajili ya wachaga, kibaya zaidi hawayajengi Uchagani, wanakimbilia mikoa ya wengine! Tunawaangalia tu!
 
Wewe nifungu lakukosa nastaendelea kulalama maisha yote pia elimu na upembuzi wa mambo kwako bado


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti wachaga wamesoma sana! wapi walikosoma? hizo certificate za CBE na IFM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…