Dr. Ndimu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2012
- 717
- 146
Katika gazeti la Fahamu la januari 22 kuna habari inayosema zaidi ya asilimia 60 ya wabunge wa CHADEMA wanaweza kuachia ngazi baada ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho endapo mbowe ataendelea kuwagawa ktk mbio za urais 2015.
Yameandikwa mengi lakin imeelezwa pia wabunge wakikaa kikao ktk hoteli moja magomeni na kujadili kauli ya Mbowe kumpigia upatu Dk. Slaa na kufikia conclusion kuwa ina madhara ya kukigawa chama.
Na mbunge mmoja aliweka bayana kwa mwandishi kuwa demokrasia isipozingatiwa watafanya uamuzi mzito ikiwa ni pamoja na kujienguaili kulinda heshima zao na wapigakura wao. Mambo yanazidi kupamba moto CHADEMA, mtafika kweli 2015?
Yameandikwa mengi lakin imeelezwa pia wabunge wakikaa kikao ktk hoteli moja magomeni na kujadili kauli ya Mbowe kumpigia upatu Dk. Slaa na kufikia conclusion kuwa ina madhara ya kukigawa chama.
Na mbunge mmoja aliweka bayana kwa mwandishi kuwa demokrasia isipozingatiwa watafanya uamuzi mzito ikiwa ni pamoja na kujienguaili kulinda heshima zao na wapigakura wao. Mambo yanazidi kupamba moto CHADEMA, mtafika kweli 2015?