Mchawi wa mwalimu huwa ni mwalimu mwenyewe, inaweza kuwasaidia endapo haitaongozwa na waalimu namaanisha kwenye management wasiweke mwalimu hata mmoja!!
Sitegemei kama mwl atafaidika na hiyo Benk,
Ni biashara nzuri, italipa sana. Je NMB itakuwa ktk hali gani baada ya waalimu kuhamia ktk benki yao?.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us