nyie ndo mnazingua,umeamua kwenda kujiandikisha tulia uandikishwe technical problems huwa zinatokea!
ukiona mtu anaandika uchafu kama huu kwenye issue inayohusu mstakabali wa taifa then ujue ameshakata tamaa,na anachosubiri ni kifo tu
r.i.p kinjekitile jr
Nyie ndo mnazingua,umeamua kwenda kujiandikisha tulia uandikishwe technical problems huwa zinatokea!
duuu...hizi mashine hivi zinatumia mtandao gani ?
Katika Kata ya Sombetini mkoani Arusha iliyokuwa inaongozwa na Alphones Mawazo (akitokea CCM) sasa CHADEMA kumetokea vurugu zilizosababishwa na mwanachama wa CHADEMA baada ya kugombea karatasi ya majina katika zoezi la uandishishaji wa BVR.
Ni katika kituo cha mtaaa wa Osunyai/Sombetini na wananchi wamevunja fensi pamoja na geti lakini Polisi naona wamefika hapa kwa ajili ya usalama. Ikumbukwe kuwa daftari la kudumu linaendelea hapa Jijini Arusha. Ninaendelea kukujuza kadri muda unavyoendelea.
=======
Cha kushangaza kijana huyu aliyenzisha vurugu amevaaa tisheti ya CHADEMA ila amebanwa na Polisi na amepatikana na kitambulisho cha kadi ya CCM na yeye ni mwana CCM. Sasa najiuliza kuwa ni kwanini hii Tanzania mbona watu wanafanya mambo ya kuharibu taratibu na sheria za eneo husika kama hili?
Ameagizwa au ni nini kimemepelekea kufikia huku?.
Best muda mwingine tafakari sana kabla ya kuandika chochote!
Huu hapa ni upotoshaji. Fensi haijavunjwa, na aliyefanya fujo ni kada wa Ccm kwa jina la utani wana muita Bonge.
Kinachoendelea hapa ni kwamba BVR hazifanyi kazi.
Unapoteza muda wako ndugu yangu..Usimpe promo huyo ignore him
Kamanda nimepita anga hiyo kwa kweli foleni ni kubwa na hata hapo Sokon 1 nako foleni kibao na nikajaribu kuongea na baadhi ya watu na wakasema tangu alfajiri walidamkia hapo na mashine zenyewe zimeletwa majira ya saa mbili yapata kamili.
Kwa ujumla kazi ipo!!!!!!
Best muda mwingine tafakari sana kabla ya kuandika chochote![/QUOTE
Tatizo lenu ni siasa ndo inawachanganya,zoezi limekuja kwenu mnaanza vurugu tena mapema mtakuwa wastaarabu na wavumilivu lini au ndo kusema nguvu nyingi kuliko akili nyingi ndo itumike?
Toa mchango wako kisha pita zako, huwezi stay back!
Nyie ndo mnazingua,umeamua kwenda kujiandikisha tulia uandikishwe technical problems huwa zinatokea!
ivi we domo chafu tatizo nini hapo kwenye uzi.technical problems si ndo kuzingua kwenyewe.na mkileta us.enge huko Arusha mtabutuliwa,Nyie ndo mnazingua,umeamua kwenda kujiandikisha tulia uandikishwe technical problems huwa zinatokea!