Hommie Kaizer ushasahau siye fita ni fita hatuiwezagi murah? Siye zetu mapenzi bana. Hebu urudi pande hii unipe taarifa za mwaJ, @ ummu kulthum, princess enny, Catherine na Mwali.Hii sredi hii...leo ngoja niende jukwaa la siasa nikaangalie njinsi ushuru wa biya umepanda tena! Manina.
Hommie Asprin ikifika Iddi nistue. nipo safarini hapa
tobaaaaaaaaaaaaa! naomba kutuma salamu kwa msiri wangu wa moyoni gfsonwin! ujumbe mla, mla leo, mla cha jana kala kiporo, mla cha kesho kala kibudu! salamu hizi zisindikizwe na wimbo wa kinyang'unya wa khadija kopa! lol! amka dada amka meli ileeeeeeeeeeeee!
Kwani Erickb52 kishafanikiwa kuweka ndani ummu kulthum?Kivyovyote vile hakipokelewi kitu! Afu Babu nahisi wewe ndiyo umeanza kufundisha vijana mitara , b52 mfano halisi !