Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,958
- 306
Tusiukashfu uislamu na waislamu kwa sababu tu ya hao wanaojiita "JUMIKI".....Waislamu wa zanzibar mara nyingi hubeza bara hakuna waislam wa kweli......hivyo kuna waislamu wanaoifahamu dini na umuhimu wa dini na kuenenda kama quran tukfu inavyosema.....hao wachache utakuta hata misikitini hawaendi,wamesikia uamsho wakanunua kanzu na baraghashia.