Prince naithy
Member
- Nov 18, 2015
- 57
- 3
Mimi nina mchumba aniamini sasa nimeleta kwenu wana jf mnisaidie nifanyaje!
Mimi nina mchumba aniamini sasa nimeleta kwenu wana jf mnisaidie nifanyaje!
mpe mshahara wako wote, atm card zako zote, mpe uhuru wa kushika simu yako muda wote, na mwisho kabisa mpe moyo wako wote...
Mpe hints dogo ndo anajifunzaMchumba HAKUAMINI sasa unataka ushauri ili AKUAMINI?