PATOXIC
Member
- Nov 28, 2011
- 63
- 34
Baada ya wanafunzi wengi wa kidato cha Nne kutangazwa wamefeli, Baadhi ya wazazi wamesikika wakilaumu kuwa "Mwanangu amefeli hata ualimu hawezi kwenda. Hoja yangu hapa ni juu ya mtazamo wa jamii ya sasa juu ya taaluma hii muhimu kwa ujumla. Je, ninani ametufikisha hapa?