Habari zenu wakuu!
Naomba kufahamishwa taratibu na gharama za uagizaji wa mashine ya kutotolea vifaranga toka nje ya nchi zinakuwaje ?
kodi kam zipo ni kiasi gan?
ghrama za bandari pia .
Nina kaka yangu yupo Kibaha Maili moja anatengeneza hizi Incubator hapo hapo Kibaha! Pia yeye Ni Agent wa hizo machine Kama ukiitaji Za kutoka china Au Ujerumani . Ni Makini na Muaminifu sana hana longolongo kwenye kazi zake . Number zake hizi 0754 569 381 jina Abdallah . Piga mwambie nimeelekezwa na mdogo wako utapokelewa na kuhudumiwa vizuri pia anazo mashine ambazo zipo tayari sokoni na hata ukitaka kupeleka mayai ili utotoshelewe tu na kuondoka na vifaranga vyako vikiwa na afya bora Kwa mashine zake binafsi pia hilo linawezekana. Karibu sana Mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.