soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,346
- 2,160
Kwan we unaonaje?
Mkuu kuwa mtu mzima ukitukanwa haufi wala hupungukiwi kitu kumbuka ukimya tu ni silaha tosha hivyo kama anakutukana kwa sms usijibu chochote kaa kimya ila sms usizifute zibaki kama ushahidi endapo lolote likatokea mbele na kama akipiga cm usipokee weka silence au kata mwishowe atachoka atajiona mjinga na kama ana akili baadae ataanza kuomba msamaha tenaJamani kuna binti nlikua natoka nae sasa wivu umemzidi nkaamua kukutengana nae cha ajabu kanianzishia bifu daily ananitukana hivi nikienda kumshtaki police ntakua nimekosea!??
Hilo nalo nenoo!!!Matusi yenyewe anayokutukana ni yapi? Maana isije kuwa anakuponda, we unasema matusi.
Dawa ni kumpotezea!.... Ila kama ni kweli mda mwingine inauma maana anakuaibisha pakubwa na kukufukuzia mawindo yakoAu isije ikawa anakuambia madhaifu yako wakati mlivyokuwa pamoja kwa mfano:
1. Mwanamme gani wewe una govi
2. Li mtu lenyewe hujui hata kuniandaa kimapenzi unarukia tu na kukojoa ndani ya sekunde 17
3. Unanuka mdomo, hufui chupi na vesti
4. Kila uki ejaculate lazima ujambe
5. Hela huna, nguvu huna hata mvuto huna
6. Mwanamme wee usiyejua hata kunyoa nywele za uumeni
7. Pesa ya hotel nilikuwa nalipa mie hadi vinywaji
8.Jifunze kupiga mswaki meno yako yana ukoko
Nafuu anakutukana kwani matusi hukondesha au hunenepesha?!Jamani kuna binti nlikua natoka nae sasa wivu umemzidi nkaamua kukutengana nae cha ajabu kanianzishia bifu daily ananitukana hivi nikienda kumshtaki police ntakua nimekosea!??