Uadui baada ya mahusiano kuvunjika

Uadui baada ya mahusiano kuvunjika

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
264
Reaction score
381
Jamani kuna binti nlikua natoka nae sasa wivu umemzidi nkaamua kukutengana nae cha ajabu kanianzishia bifu daily ananitukana hivi nikienda kumshtaki police ntakua nimekosea!??
 
Wanawake wengi wanakosea sana hapo,tena hua wanachemsha wenyewe kwenye mahusiano afu wanaanza kutukana na kutoa vitisho,kama wanaume wote tungewavulia uvivu wangekua jela wengi sana,maana wanaume wengi huishia kutukanwa na kutishwa kwa njia za meseji kwenye simu.tatizo hili lipo sana kwa wanawake wa hapa kwetu Tanzania,nenda kamshitaki kama anatoa matusi ovyo,hatujalelewa kutukana tukana ovyo na kutishana tishana
 
kwan ukiamua ku muignore shida iko wap
 
Polisi sio suluhisho mpotezee ikiwezekana tafuta baby mwingine mkali zaidi yake kauzu zaid ya dagaa atashika adabu.
 
Kimya ni jibu Nzuri Mkuu atachoka tu hizo ni hasira za kuachwa
 
mapenzi yanatesa we mpotezee maana anaumia sahv yakipoa ataacha
 
ninaweza kukerwa na mambo mengi lakini matusi hayapo ila wewe unayenitukana ndio utakerekwa sina habari
 
Back
Top Bottom