U.S. tells Rwanda to immediately end support for M23 rebels

U.S. tells Rwanda to immediately end support for M23 rebels

Dotworld

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
4,035
Reaction score
3,783
WASHINGTON | Tue Jul 23, 2013 3:06pm EDT


r

A M23 rebel trainer walks behind recruits during a training session at the Rumangabo military camp in eastern Democratic Republic of Congo, May 16, 2013.
Credit: Reuters/James Akena​


(Reuters) - The United States on Tuesday called on Rwanda to end support for M23 rebels in neighboring Democratic Republic of Congo, saying there was evidence Rwandan military officials were involved.

"We call upon Rwanda to immediately end any support for the M23 (and) withdraw military personnel from eastern DRC," State Department spokeswoman Jen Psaki said.

She declined to say whether Rwandan President Paul Kagame was implicated. "I wasn't speaking to Kagame himself," she added.

The call comes two days before U.S. Secretary of State John Kerry leads a special session of the United Nations Security Council on Africa's Great Lakes region.

Psaki said the concerns followed a "credible body of evidence" in a recent report by Human Rights Watch that said M23 rebels in Congo were to blame for executions, rapes and forcible recruitment of men and boys while receiving support from Rwanda.

M23 began taking parts of eastern Congo early last year, accusing the government of failing to honor a 2009 peace deal.

(Reporting by Lesley Wroughton; Editing by Doina Chiacu)

Source: REUTERS: http://www.reuters.com/article/2013/07/23/us-congo-demoncratic-un-idUSBRE96M0X620130723?rpc=401&feedType=RSS&feedName=worldNews&rpc=401

2. http://uk.news.yahoo.com/u-tells-rwanda-immediately-end-support-m23-rebels-190133844.html#PLHTUqD
 
Thats the end of the Game to P.Kagame...yani JWTZ inaita last Card...tena mavi ya mbuzi ya tripple7,wakati Kagame bado ana Joker na bwana na bibi....Kumbe kelele zote zile n sbb tumetekenya masabuli ya Kigali...Dah kweli Ziara ya Obama inajibu
 
USA anaunga mkono waasi wa Syria na anawapatia silaha ili waipindue Serikali ya Syria, mbona hao Human Right Watch sijawasikia waipinge USA silaha zake zinamwaga damu za wasyria, nyani haoni kundule?
Wana JF sio kama wanaunga mkono M23/Rwanda, sipendi unafiki wa USA hasa maslahi yake yanapoguswa.
Vile vile sisi wa-Tz hatutakiwi kuunga mkono vikosi kwenda Congo, mzozo wa Congo hauwez kutatuliwa kwa bunduki hata Yesu atakapo rudi, mzozo wa Congo utatatiliwa na wacongo wenyewe kukaa mezani na kujadili namna wote watakavyonufaika na raslimali za ile nchi, tusiwe mashabiki maandazi.
 
USA anaunga mkono waasi wa Syria na anawapatia silaha ili waipindue Serikali ya Syria, mbona hao Human Right Watch sijawasikia waipinge USA silaha zake zinamwaga damu za wasyria, nyani haoni kundule?
Wana JF sio kama wanaunga mkono M23/Rwanda, sipendi unafiki wa USA hasa maslahi yake yanapoguswa.
Vile vile sisi wa-Tz hatutakiwi kuunga mkono vikosi kwenda Congo, mzozo wa Congo hauwez kutatuliwa kwa bunduki hata Yesu atakapo rudi, mzozo wa Congo utatatiliwa na wacongo wenyewe kukaa mezani na kujadili namna wote watakavyonufaika na raslimali za ile nchi, tusiwe mashabiki maandazi.

mauaji anayoyafanya bashar ni zaidi ya genocide, kwanini wapenda amani wasisaidie ukombozi? kubali ukweli na vua utumwa aliokutwika na slim boy hapa jf. sasa ni mchakamchaka mpaka kigali.
 
Inakuaje mtu huyu huyu mmoja anasumbua eneo letu hili?!!
 
Kimenuka! naona hawa jamaa wana hamu naye sana. sijui safari hii watakuja na mbinu gani.
 
Kimenuka! naona hawa jamaa wana hamu naye sana. sijui safari hii watakuja na mbinu gani.

kagame kashakosea, nchi ambayo ingeweza kumlinda hapa ni Tanzania tu sasa katudhihaki, tutamfundisha adabu! kama anaitegemea kenya imekula kwake mazima! hamna rafiki mkubwa wa iddi amini dada kama alivyo kuwa mzee kenyata, lakini baada ya kunuka alimtelekeza kama inzi wa kijani.
 
Haya sasa. Rais wa dunia keshasema. Tusubiri utekelezaji. Kama kuna rafiki mkubwa Rwanda ilitakiwa ibaki naye ni Tanzania. Ukiichokoza Tanzania kila nchi duniani itakushangaa!. Wanaojua kama Kenya na Uganda siku zote huwa hawajaribu na tunakaa nao vizuri. Huyu inaonekana alikuwa amelala fofofo!
 
Back
Top Bottom