Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Niliwahi kuona misuguano kati ya magazeti ya IPP hapo nyuma na jamii ya kiislam. lkn kwa sasa yametatuliwa na yameondoka.
nimewahi kusoma tahariri ya tzdaima ikipinga waislam kupewa mahakama ya kadhi na hivi karibuni iliandika kuwashtumu waislam kuleta uchochezi kwa kutaka kuwadhuru wakiristo. lkn kweli ni haki ya chombo cha habari kulalia upande mmoja.toleo la jana
inamaana muhariri mkiristo kupinga mahakama ya kadhi anatumikia taifa?
kwanini Kibanda asihamie msemakweli, kiongozi, redio maria, wapo redio?
lkn nachohofia kwamba tzdaima haina nguvu kupambana na jamii hii.
jamii ambayo hua haendi mahakamani hutumia ukiona baya chukua hatua.
tzdaima ibadilike lisiwe tawi la kanisa . litumike chadema zaidi
nimewahi kusoma tahariri ya tzdaima ikipinga waislam kupewa mahakama ya kadhi na hivi karibuni iliandika kuwashtumu waislam kuleta uchochezi kwa kutaka kuwadhuru wakiristo. lkn kweli ni haki ya chombo cha habari kulalia upande mmoja.toleo la jana
inamaana muhariri mkiristo kupinga mahakama ya kadhi anatumikia taifa?
kwanini Kibanda asihamie msemakweli, kiongozi, redio maria, wapo redio?
lkn nachohofia kwamba tzdaima haina nguvu kupambana na jamii hii.
jamii ambayo hua haendi mahakamani hutumia ukiona baya chukua hatua.
tzdaima ibadilike lisiwe tawi la kanisa . litumike chadema zaidi