Tz Gvt imetoa rambi2 kwa Jirani?

Tz Gvt imetoa rambi2 kwa Jirani?

F2S

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2008
Posts
216
Reaction score
44
Tz Govt imetoa rambi2 kwa jirani? Niko mbele mbele huku time difference na access ya Tv za bongo inazingua. Thanks inadvance.
 
waombe msaada wa vijana wa kazi, just minutes hao jamaa watakuo nailed down. siege inachukua siku 4 bado inaendelea tu? majeshi mengine
 
polisi wa kenya ni wazembe hakuna mfano. ingekuwa hapa tz hatungehitaji hata kuita wanajeshi na vifaru kwa vijana 15 tu hao, polisi wetu hawahawa wanaolipwa laki tatu kwa mwezi wangetosha na wala yasingeisha masaa kumi. poleni majirani zetu.
 
polisi wa kenya ni wazembe hakuna mfano. ingekuwa hapa tz hatungehitaji hata kuita wanajeshi na vifaru kwa vijana 15 tu hao, polisi wetu hawahawa wanaolipwa laki tatu kwa mwezi wangetosha na wala yasingeisha masaa kumi. poleni majirani zetu.

Aiseee?????!!!
 
Tumieni akili this is a hostage situation you can't jus storm in like a boss,hujui exact number ya hostages ndani we unaenda tu, i say the kenyans have handled the situation well...kwani india ile hoteli iloktekwa si ilikuwa hivi hivi tu
 
Tumieni akili this is a hostage situation you can't jus storm in like a boss,hujui exact number ya hostages ndani we unaenda tu, i say the kenyans have handled the situation well...kwani india ile hoteli iloktekwa si ilikuwa hivi hivi tu
hata kama ni hostages, wakenya ni wazembe mno ndio maana hata vita hamuiwezi. kwani hamna vyombo vya kujikinga na risasi? hamna makomandoo? leteni raia hapa bongo tuwafundishe ukomandooo, makomandoo wawili tu hapo walikuwa wanatosha, sasa vile vifaru na wanajeshi kibao wanaoonekana wazembewazembe hata kwa mwonekano vya nini vyote vile? vifaru mlitaka kuingia navyo mle ndani ya jengo? hivi terrorist angetoka hapo mngemfukuza kwa kifaru?hahahaha. akiingia uchochoroni mngemfukuza kwa kifaru? ninyi wakenya hamna lolote, maneno meengi, mngeomba hata msaada wa tz kuleta vijana wake hapo hata masaa kumi yasingefika. ninyi mmetumia masaa zaidi ya 50, vijana wenu wanajeshi wanaogopa kufa?wanajeshi gani hao wanaooogopa kufa? no wonder mmemsapoti kagame aliyesapoti m23 wakawaua wanajeshi wawili wa tz mmoja tumezika jana. kuna siku kenya mtakuja kujua kuwa rafiki yenu wa faida ni tz na si hao manung'ayembe.
 
Tz Govt imetoa rambi2 kwa jirani? Niko mbele mbele huku time difference na access ya Tv za bongo inazingua. Thanks inadvance.
Imetoa,,according to vyombo vya habari kama citizen Kenya na star tv Tz
 
wanajeshi waliokua pembezoni wakisikia milio ya bunduki wanakimbilia vichakani huku wakigongana na raia, halafu mule ndani ya jengo wanaendaenda tu hawako strategic
 
hata kama ni hostages, wakenya ni wazembe mno ndio maana hata vita hamuiwezi. kwani hamna vyombo vya kujikinga na risasi? hamna makomandoo? leteni raia hapa bongo tuwafundishe ukomandooo, makomandoo wawili tu hapo walikuwa wanatosha, sasa vile vifaru na wanajeshi kibao wanaoonekana wazembewazembe hata kwa mwonekano vya nini vyote vile? vifaru mlitaka kuingia navyo mle ndani ya jengo? hivi terrorist angetoka hapo mngemfukuza kwa kifaru?hahahaha. akiingia uchochoroni mngemfukuza kwa kifaru? ninyi wakenya hamna lolote, maneno meengi, mngeomba hata msaada wa tz kuleta vijana wake hapo hata masaa kumi yasingefika. ninyi mmetumia masaa zaidi ya 50, vijana wenu wanajeshi wanaogopa kufa?wanajeshi gani hao wanaooogopa kufa? no wonder mmemsapoti kagame aliyesapoti m23 wakawaua wanajeshi wawili wa tz mmoja tumezika jana. kuna siku kenya mtakuja kujua kuwa rafiki yenu wa faida ni tz na si hao manung'ayembe.

Jamani Wtz wenzangu tusijiingize ktk mitego ya kujigamba kama walivyo majirani. Zaidi tuendelee kuwapa pole kwa yaliyowapata. Hatuna haja sana ya kuzungumzia udhaifu wao maana wako kwenye msiba muda huu.
 
hata kama ni hostages, wakenya ni wazembe mno ndio maana hata vita hamuiwezi. kwani hamna vyombo vya kujikinga na risasi? hamna makomandoo? leteni raia hapa bongo tuwafundishe ukomandooo, makomandoo wawili tu hapo walikuwa wanatosha, sasa vile vifaru na wanajeshi kibao wanaoonekana wazembewazembe hata kwa mwonekano vya nini vyote vile? vifaru mlitaka kuingia navyo mle ndani ya jengo? hivi terrorist angetoka hapo mngemfukuza kwa kifaru?hahahaha. akiingia uchochoroni mngemfukuza kwa kifaru? ninyi wakenya hamna lolote, maneno meengi, mngeomba hata msaada wa tz kuleta vijana wake hapo hata masaa kumi yasingefika. ninyi mmetumia masaa zaidi ya 50, vijana wenu wanajeshi wanaogopa kufa?wanajeshi gani hao wanaooogopa kufa? no wonder mmemsapoti kagame aliyesapoti m23 wakawaua wanajeshi wawili wa tz mmoja tumezika jana. kuna siku kenya mtakuja kujua kuwa rafiki yenu wa faida ni tz na si hao manung'ayembe.

Aisee sikumbuki kuona kifaru, naimani ulichokiona ni zile tactical vehicles which looks like a tank but sio
PS:you referred to me that I'm kenyan..i ain't me ni mTZ!
 
i've been wondering kuhusu watu kupewa uraia usokuwa wao.
sasa sijui ii segregation inatokana na post ama ni mtu kukujua nje ya jf?? still puzzled

yaani ukienda kwenye nyuzi za malawi Vs Tz kuna watu wanakuwa marginallized, ukija za Rwanda Vs Tz the same na sasa hizi za Kenya bado hali ni hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom