Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
kama kuna mwenye address kamili ya blog ya Ndimara Tegambwage anisaidia.....Hili swala la hawa jamaa kutokuwa hewani linaudhi kidogo.....Siwashangai watu wanaohisi kuwa kuna umafia unafanyika katika kuyazima......Kipindi si kizuri hiki kwa watu wasiopenda maouvu yao kuanikwa.......