Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,390
- 21,041
kuna Nchi imeweka lockdown lakini bado ngoma imepenya mimi naona haina faida tu kila mtu achukue jukumu la kujilinda afya yake mwenyewe.
Akili kubwaMasuala ya kitaalam waachwe wataalam waseme..
Hii sio siasa...hatari ipo kubwa..
Majibu mepesi ya ndio au hapana sio sahihi
Walichelewa.kuna Nchi imeweka lockdown lakini bado ngoma imepenya mm naona haina faida tu kila mtu achukue jukumu la kujilinda afya yake mwenyewe.