Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Kwa wale wanaosema Tanzania hakuna ulaazima wa lockdown, pia shughuli za kiofisi biashara ziendelee , Watu waendelee kufuata tafadhari na kuwatii wenye mamlaka (viongozi wa nchi) maana Ni watumishi wa Mungu.
##Maofisini, vyuoni, sehemu za biashara tahadhari za kiafya zizingatiwe
Type the word "NO"
Ee Bwana Mungu kusudi lako kwa Tanzania na litimie. ZAIDI utusamehe uovu na uchafu wetu kupitia mwanao Yesu Kristo.
Amen.
##Maofisini, vyuoni, sehemu za biashara tahadhari za kiafya zizingatiwe
Type the word "NO"
Ee Bwana Mungu kusudi lako kwa Tanzania na litimie. ZAIDI utusamehe uovu na uchafu wetu kupitia mwanao Yesu Kristo.
Amen.