Mzee heshima yako mkuu, na bravo kwa info za hii situaton, isipokuwa wewe, polisi, na wanachi wote hawajui chanzo cha huu unyama, sasa itakuwa ni makosa makubwa kwako ku-dismiss any tetesi at this stage bila ya kujua ukweli, ni lazima kuwe na leads ya aina yoyote ile hata kama ni ya kijinga, katika upelelezi,
halafu ni lazima kuirudia tena na tena ile crime scene, unless wewe unaelewa chanzo, otherwise any lead au tetesi ni valid na inahitaji kufuatiliwa, nilichosikia so far ni kwamba mmoja kati ya marehemu alikuwa involved na mambo ya "Makaratasi", na alikuwa njiani kwenda kuyalipia na kulikuwa na mtu aliyefahamu kuwa kwenye lile gari la marehemu wawili kulikuwa na hela nyingi, na alikuwa aliwafuatilia, kwa hiyo kama ni kweli huenda ni yeye anayehusika na hayo ma-Paper, ninarudia kama ni kweli, na ni moja kati ya lead inayofuatiliwa kwa makini kwa upande wetu, yaani Bongo,
Unless una ukweli au tetesi nyingine ni vyema ukaisema au ikasemwa ili wanaohusika wafanye kazi yao, tunaelewa sensitivity ya hii issue, na tunaheshimu kuwa uko karibu na hii situation, na tunaheshimu all the info ulizozitoa so far, na tunakutakia uvumilivu katika kupambana na the whole issue, na respect kwamba mmoja wa wazee wa hii forum upo karibu,
Halafu sikujua kuwa huko Detroit kuna wabongo wengi sisi tulifikiri ni Texas tu ndio kwenye wengi!
tupatie info hata za tetesi kama unazo, kazi njema Mzee!