Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
1. Je ni kweli Mo anajaribu kuwa mkubwa kuliko timu ya Simba SC; au ni kweli Mo akiachana na Simba SC, timu hiyo itayumba na kukosa mustakabali elekezi?
2. Je kuna mafanikio gani ambayo Simba SC imeyapata chini ya Mo; kwa mantiki kwamba haikuwahi kuyapata miaka ya nyuma kabda ya Mo?
3. Yeye kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi; kuna haja ya kuleta kwenye mitandao mambo ambayo yanaweza kujadiliwa kwenye kamati? Katiba ya Simba inasemaje ikiwa Mwenyekiti wa Bodi anataka kujiuzulu? Je alifuatisha utaratibu huu ? Je yupo juu ya katiba ya Simba ?
Je Wajumbe wa Bodi walipewa Taarifa in advance au Social Media ndiyo ilitumika kama official information kwa wajumbe wake? Ameivunjia Bodi nidhamu? Je kuna haja ya kuhojiwa na kamati ya Bodi ?
Je anapaswa kulazimishwa kujiuzulu kwa ukosefu wa nidhamu na maadili ya utumishi wa Simba SC ?
4. Je kuna anayefahamu sababu nyuma ya pazia ya bwana huyu kuwa Muwekezaji at the same time kuwa mwenyekiti wa Bodi? What is the secret behind ?
5 . Mbona siku zote anawasimanga wana Simba juu ya Bili 20??? Lakini hazungumzii kile anachochuma kupitia mgongo wa Simba SC !
Aidha, Wengi walistushwa na Twitter mbili za Mo; Moja akijiuzulu kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi.
Na nyingine akijirudisha kwenye Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi simply kwa kusema it was unfortunate.
Kuna haja ya Serikali ya Jamhuri kulitizama hili kwa jicho la tatu. Naelewa dhamiri ya dhati ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania chini ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, ndugu Pombe Magufuli kutoruhusu mtu mmoja kuwa na Hisa zaidi ya 49% kwenye Klabu hizi mbili za Simba na Yanga.
Hizi ni Klabu zenye historia ya Tanzania na haitoweza kutokea klabu hizi kupoteza dira hata siku moja kwa kumkosa mtu au jamii fulani. Ifahamike kwamba Klabu hizi zote zimepitia Financial Crisis kwa nyakati tofauti na hakuna iliyoanguka.
Aidha, Mo alilalamikia kuhusu Bilioni 4 zinazolipwa wachezaji ambao wanashindwa kufanya kama matarajio yake; ( lakini sio matarajio yake; ni matarajio ya wana Simba). Bilioni 4 ni pesa ndogo sana kwenye Mpira kwa vilabu vingi Barani Africa; Ni pesa ambayo haikuweza hata kumuhamisha Makusu kutoka As Vita kuja Simba SC.
Halikadhalika, Simba ina umri zaidi ya Umri wa Mo na Uwanja wa Bunju ulikuwepo kabda ya Mo; marekebisho na ujenzi unaoendelea ni kutokana na fedha zinazoingizwa na Klabu ya Simba SC, sio fedha kutoka mfukoni mwa Mo D.
Kuna Malalamiko mengi ndani ya Klabu kuwa Mo anajaribu kuwa mkubwa kuliko Simba kwa Investment yake ya 20 Bil ambazo mpaka sasa hakuna anayeelewa amezi invest wapi na vipi. View attachment 1327081
Taarifa iliyoandaliwa na kocha Mkuu wa Simba, Patrick Uchebe ilisisitiza baadhi ya Wachezaji wasiondoke lakini Mo akasisitiza atakuja na wachezaji wake wazuri; Ndio hao Wabrazili pamoja na Shibobo matokeo yake yeye ndiyo kuwa sababu ya Simba kutolewa nje ya michuano kwenye hatua za awali kabisa kitu ambacho hutokea nadra sana kwa Vijana hao wa Msimbazi.
Hata makocha wanaoletwa kwenye Klabu; wengi wao wanakuwa na influence ya Mo pasipo kujali uwezo halisi wa kocha na Background yake. ( Mfano ni huyu Kocha mpya; hata rekodi zake haziridhishi). Hii ni hatari sana kwa Ustawi wa Klabu.
Hivyo; kupitia Twitter 2 za Mo;
—Kuna haja ya Serikali ku review 49% ya Mo ikiwa ni pamoja na kufanya amendment ya figure tajwa hapo juu. Tenda itangazwe kwa wanaotaka kuwekeza katika asilimia zitakazo baki na si ajabu Hata Mbwana Samatha akataka kuwekeza.
—Ukomo wa mtu mmoja kumiliki Hisa za Klabu hizi uwe at-most 15% only. Ili kutoa nafasi kwa watanzania wengine wenye nia thabiti ya kuwekeza kwenye Klabu;
—Samba samba na hilo; Muwekezaji hatopaswa kuwa Mwenyekiti wa Bodi; Muwekezaji abaki kuwa Muwekezaji ili kuzuia Personal Interest and Judgement kwenye timu.
—Aidha, Mapato yote ya timu as of Financial Year yawe wazi kwa wanachama wote wa Simba.
—Mwenyekiti wa Bodi ataajiriwa kama wanavyoajiriwa wafanyakazi wengine.
Hii itapunguza kuona kwamba mtu mmoja kwa fedha zake za kufikirika anaweza kufanya lolote kwenye Klabu na akaweza kuchochea maamuzi kwenye timu.
Mwisho, ukweli ni kwamba hata Mo akiondoka Muda huu timu itaendelea kuwepo kama alivyoikuta, na ataiacha kama ilivyoachwa na wengine.
Tweet zake mbili zimeonesha ni jinsi gani Mo alivyo Immature and he has no control over himself; he is not acting his age.
The Club itself isn't in the Control. Bodi ya Wakurugenzi ikiliacha hili lipite kimya; basi Bodi Ijitathmini Power na Authority ilizokuwa nazo over one person. Otherwise; Bodi Ivunjwe kwa sababu haiwezi kumuwajibisha mtu, nonsense!
Thank you !
On Date 18th January 2020
2. Je kuna mafanikio gani ambayo Simba SC imeyapata chini ya Mo; kwa mantiki kwamba haikuwahi kuyapata miaka ya nyuma kabda ya Mo?
3. Yeye kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi; kuna haja ya kuleta kwenye mitandao mambo ambayo yanaweza kujadiliwa kwenye kamati? Katiba ya Simba inasemaje ikiwa Mwenyekiti wa Bodi anataka kujiuzulu? Je alifuatisha utaratibu huu ? Je yupo juu ya katiba ya Simba ?
Je Wajumbe wa Bodi walipewa Taarifa in advance au Social Media ndiyo ilitumika kama official information kwa wajumbe wake? Ameivunjia Bodi nidhamu? Je kuna haja ya kuhojiwa na kamati ya Bodi ?
Je anapaswa kulazimishwa kujiuzulu kwa ukosefu wa nidhamu na maadili ya utumishi wa Simba SC ?
4. Je kuna anayefahamu sababu nyuma ya pazia ya bwana huyu kuwa Muwekezaji at the same time kuwa mwenyekiti wa Bodi? What is the secret behind ?
5 . Mbona siku zote anawasimanga wana Simba juu ya Bili 20??? Lakini hazungumzii kile anachochuma kupitia mgongo wa Simba SC !
Aidha, Wengi walistushwa na Twitter mbili za Mo; Moja akijiuzulu kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi.
Na nyingine akijirudisha kwenye Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi simply kwa kusema it was unfortunate.
Kuna haja ya Serikali ya Jamhuri kulitizama hili kwa jicho la tatu. Naelewa dhamiri ya dhati ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania chini ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, ndugu Pombe Magufuli kutoruhusu mtu mmoja kuwa na Hisa zaidi ya 49% kwenye Klabu hizi mbili za Simba na Yanga.
Hizi ni Klabu zenye historia ya Tanzania na haitoweza kutokea klabu hizi kupoteza dira hata siku moja kwa kumkosa mtu au jamii fulani. Ifahamike kwamba Klabu hizi zote zimepitia Financial Crisis kwa nyakati tofauti na hakuna iliyoanguka.
Aidha, Mo alilalamikia kuhusu Bilioni 4 zinazolipwa wachezaji ambao wanashindwa kufanya kama matarajio yake; ( lakini sio matarajio yake; ni matarajio ya wana Simba). Bilioni 4 ni pesa ndogo sana kwenye Mpira kwa vilabu vingi Barani Africa; Ni pesa ambayo haikuweza hata kumuhamisha Makusu kutoka As Vita kuja Simba SC.
Halikadhalika, Simba ina umri zaidi ya Umri wa Mo na Uwanja wa Bunju ulikuwepo kabda ya Mo; marekebisho na ujenzi unaoendelea ni kutokana na fedha zinazoingizwa na Klabu ya Simba SC, sio fedha kutoka mfukoni mwa Mo D.
Kuna Malalamiko mengi ndani ya Klabu kuwa Mo anajaribu kuwa mkubwa kuliko Simba kwa Investment yake ya 20 Bil ambazo mpaka sasa hakuna anayeelewa amezi invest wapi na vipi. View attachment 1327081
Taarifa iliyoandaliwa na kocha Mkuu wa Simba, Patrick Uchebe ilisisitiza baadhi ya Wachezaji wasiondoke lakini Mo akasisitiza atakuja na wachezaji wake wazuri; Ndio hao Wabrazili pamoja na Shibobo matokeo yake yeye ndiyo kuwa sababu ya Simba kutolewa nje ya michuano kwenye hatua za awali kabisa kitu ambacho hutokea nadra sana kwa Vijana hao wa Msimbazi.
Hata makocha wanaoletwa kwenye Klabu; wengi wao wanakuwa na influence ya Mo pasipo kujali uwezo halisi wa kocha na Background yake. ( Mfano ni huyu Kocha mpya; hata rekodi zake haziridhishi). Hii ni hatari sana kwa Ustawi wa Klabu.
Hivyo; kupitia Twitter 2 za Mo;
—Kuna haja ya Serikali ku review 49% ya Mo ikiwa ni pamoja na kufanya amendment ya figure tajwa hapo juu. Tenda itangazwe kwa wanaotaka kuwekeza katika asilimia zitakazo baki na si ajabu Hata Mbwana Samatha akataka kuwekeza.
—Ukomo wa mtu mmoja kumiliki Hisa za Klabu hizi uwe at-most 15% only. Ili kutoa nafasi kwa watanzania wengine wenye nia thabiti ya kuwekeza kwenye Klabu;
—Samba samba na hilo; Muwekezaji hatopaswa kuwa Mwenyekiti wa Bodi; Muwekezaji abaki kuwa Muwekezaji ili kuzuia Personal Interest and Judgement kwenye timu.
—Aidha, Mapato yote ya timu as of Financial Year yawe wazi kwa wanachama wote wa Simba.
—Mwenyekiti wa Bodi ataajiriwa kama wanavyoajiriwa wafanyakazi wengine.
Hii itapunguza kuona kwamba mtu mmoja kwa fedha zake za kufikirika anaweza kufanya lolote kwenye Klabu na akaweza kuchochea maamuzi kwenye timu.
Mwisho, ukweli ni kwamba hata Mo akiondoka Muda huu timu itaendelea kuwepo kama alivyoikuta, na ataiacha kama ilivyoachwa na wengine.
Tweet zake mbili zimeonesha ni jinsi gani Mo alivyo Immature and he has no control over himself; he is not acting his age.
The Club itself isn't in the Control. Bodi ya Wakurugenzi ikiliacha hili lipite kimya; basi Bodi Ijitathmini Power na Authority ilizokuwa nazo over one person. Otherwise; Bodi Ivunjwe kwa sababu haiwezi kumuwajibisha mtu, nonsense!
Thank you !
On Date 18th January 2020