Twitter ifutwe tu Tanzania. Ni kijiwe cha wambeya, wazandiki, wapinga maendeleo, wazushi.
Ukiona hivyo Ndugai hali ni teteHabari za asubuhi everybody ! Nauliza wale wanzangu namie wapenda habari . Nimeamka saubuhi twitter haifunguki je ninyie ipo hivyo kwenu!?.
Na nni shida !?
Kwa akili hizi tunasafari ndefu sanaTwitter ifutwe tu Tanzania. Ni kijiwe cha wambeya, wazandiki, wapinga maendeleo, wazushi.
wameshindwa kumgundua Kigogo alipo wakaamua kuifunga Twitter, mm tangu Uchaguzi wa oktoba 2020 sijaipata, kweli Inji hii tupo daraja lingine la uchumi wa katiKaka wa taifa Kigogo anashusha nondo zenye madini makali sana.