Asilimia kubwa ya wachezaji wengi waliokuja simba na yanga kwa mbwembwe na migogoro waliondoka kimya kimya baada ya muda mfupi. Uwezo wake wa kuhimili presha za nje ya uwanja (kutokana na mazingira ya usajili wake) ndio vitakavyomwezesha kusurvive kwenye soka la bongo. Otherwise namtakia kila la heri ila ajue kuwa mashabiki wa bongo bana hawana uvumilivu ikibidi akamtafute asamoah,shikokoti au jama mba to mention the few.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.