Twaweza: Maoni na Matakwa ya Wananchi juu ya Uongozi wa Kisiasa Tanzania kuelekea 2015

Unapiga gitali na kucheza mwenyewe, jidanganye, huku mtaani ni Dr.slaa uliza hata mtoto mdogo.Kashfa hizi lowassa atakuwa na kazi kusafisha chama japo yeye anauzika zaidi ya makajanja wengine wa ccm,lowassa ni mzuri among the worst.
Mkuu sibishani na wewe.........na nimefurai kama umetambua Lowassa ni the best kuliko wote ndani ya CCM.........tuombe Mungu tukutane mwakani kati ya Lowassa na Dr.Slaa........ingawa at the end Lowassa atashinda kwa kishindo kwani kuna kundi kubwa lililoko Chadema linalomkubali jembe Lowassa....
 
Hizi tafiti zimefanywa kabla ya Mdee kuingia shambani warudi tena kufanya utafiti kama hawaja choma moto takwimu zao.
Manking; ukawa wasipokuwa na migogoro wanaweza wakaipindua ccm kama ilivyokuwa chama cha KANU nchini Kenya.
 
Poor ----ing Tanzanians.Shame on you.Samahani kwa kutumia maneno makali kidogo lakini ni katika kufikisha hisia zangu pia.Ni aibu kuona tunaendelea kumfikiria mamvi kwenye nafasi nyeti ya urais na hali twajua kashfa iliyomtoa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu.Tubadilike na kujitaidi kuwachagua viongozi safi wasio na kashfa zinazoigharimu taifa
 
Mumdhaniye ndiye siye!
Hahahahahaha kila siku siyo jumapili kaka, urais wa 2005 Jk alijipanga, 2015 yule aliyejipanga ndiyo atashinda urais.........Dont think kwamba kwa kuwa Ben alipata zali basi 2015 kuna atakayepata zali ni kitu kisichowezekana katika nyakati hizi....
 
Huu si utafiti na aliyepika hizo takwimu hajajipanga! Na amefanya MAKOSA YA HALI YA JUU SANA.

Na kwa haraka haraka nitaonyesha makosa ya KUPIKA DATA hizi especially KOSA LA KIMAHESABU.
—-------—------—------—-----—--—--
Katika majumuisho ya ASILIMIA ni LAZIMA zifike MIA yaani ASILI YA MIA.

Lakini ukijumlisha asilimia zilizotolewa na OCAMPO FOUR kiasilimia HAZIFIKI MIA....Zinaishia 96.4%..... sasa hiyo tofauti ya 03.6% imeenda wapi ?

Hata ukijumlisha idadi ya hao watu haifiki 60. Inaishia 59!
Sasa huyo 1 ameenda wapi?!........

Hata ukichukua idadi ya waliyomsapoti LOWASA 42 ukaiweka chini ya 60 ukazidisha kwa 100 unapata 70%. Na hata ukichukuwa 42 chini ya 59 utapata 71.19% sasa hiyo 68.8% aliyoipata LOWASA imetoka wapi?!...

Pia kwenye data interpretation ukishakosea figure tu basi interpretation HAIWEZI kuwa sasa...

Utafiti fake hupelekea kupika data,data hukosa usahihi na hivyo interpretation haiwezi kuwa sahihi nakupelekea utafiti usiwe sahihi.

Naomba niishie hapa......

Hizi data ni zakupika tu.
----—----–—-----—-----—.
specialist88

BACK TO TANGANYIKA..

UKAWA TUMAINI 2015.

Vizuri mkuu umemchambua vizuri mleta mada, hizi tafiti wamekaa wakazipika pika lengo kumsafisha Edward Lowassa na kuwadididimiza wagombea wengine ndani ya CCM wenye sifa na uwezo mkubwa kimaadili na kiutendaji ndani ya CCM hiyo ndiyo michezo michafu anayoifanya Edward Lowassa na team yake kwa lengo la kujisafishia njia ya kwenda ikulu.Ewe mtanzania makini na mwenye nia njema na taifa letu kwa maendeleo ya watanzania wote kemea tabia hii chafu na waelimishe watanzania wengine kokote uliko juu ya mbinu chafu za Edward Lowassa na kuwaambia ukweli kwamba huyu jamaa hafahi kuwa rais wa JMT kwani ni fisadi na muumini mkubwa wa rushwa akipita huyu jamaa tutarudi nyuma kimaendeleo badala ya kusonga mbele atahujumu rasirimali zote za taifa kwa manufaa yake yeye,familia yake na marafiki zake.Pinga Ufisadi na tabia ya rushwa kwa kumkataa Bw.Edward Lowassa kwa manendeleo ya taifa la Tanzania.
 
Tafiti nyingi za Tanzania hasa za Kisiasa ni za Magumashi.Sehemu zote nilizozunguka CCM inapumulia mashine.Nyingi ya hizi Takwimu ni za kuwaandaa watu kisaikolojia pindi maokeo ya uchaguzi yanapotoka wawe tayari kuyapokea.nasikitika Taasisi kama Twaweza Kutumika kupotosha Umma.
 
Poor ----ing Tanzanians.Shame on you.Samahani kwa kutumia maneno makali kidogo lakini ni katika kufikisha hisia zangu pia.Ni aibu kuona tunaendelea kumfikiria mamvi kwenye nafasi nyeti ya urais na hali twajua kashfa iliyomtoa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu.Tubadilike na kujitaidi kuwachagua viongozi safi wasio na kashfa zinazoigharimu taifa
Unaongea kama mwanamke mpumbavu (mke wa Ayubu katika Biblia).....
 
Mbona mikoa mingi uliyotaja haina hata mbunge mmoja wa upinzani?

Tafiti hupingwa na tafiti,let's yako sasa

Katika siasa hujui chochote, yaani katika mikoa iliyotajwa hapo hakuna mkoa ambao kuna mbunge wa upinzani? Nyambafu kabisa
 
Hii ni REDET kwa jina la Twaweza .......Mtafiti mkuu alikuwa Dr.Benson Bana , then mnaita huu ni utafiti? Mta igharimie twaweza reputation yake kwa kutumia fedha ya Lowassa ili kumpaisha ......
 
Pata picha watu wa WAMA watakuwa katika hali gani kwa sasa? kumpa Membe hii nchi ni sawa sawa na kuitupa hii nchi......Pinda ndiyo atakuwa analia lia kila siku Ikulu.........Nyerere alisema Ikulu siyo sehemu ya Kulia lia hata kidogo
Mnapo ongea hayo wanaccm wenzangu kumbukeni nchi sasa ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, je akipita Membe hamtakuwa tayari kumuunga mkono na mtaunga mkono uinzani ?
 
We unajua mambo ya statistical significance, mambo ya interval error, na katika rounding up kama hiyo 68.8 ukiround up unapata ngapi........una akili ndogo sana rudi shule na kupitia kitabu cha Kothari.......

Ndugu umeingilia pakutokea!!
---—-----—-----—--------—----—--
Naomba nikurudishe darasani.....

Sasa hebu niambie kwa kufanya consideration ya hivyo vyote ulivyotaja hapo juu...
Nikwanamna gani unaweza uka-round 68.8% ikawa 70% (kwa kuchukulia jumla ya sample ya 60) au 72%(kwa kuchukulia jumla ya sample 59)?

Hatika statistics mathematics ya kiutafiti hakuna uhusiano wa 68.8%.70.0% na 72%.

Hizi zinaleta difference kubwa sana,mfano 68.8% na 70.0% utapata 1.2% au 68.8% to 72% utapata 3.2% ambayo ni sawa na watu 2 as sample ya utafiti ilikuwa 60 people.

Pia kwa idadi ya watu 60 ni ndogo sana hivyo haitakiwi kuwe na difference au makadilio makubwa kama unavyolazimisha......
—-------—------—-----—-----—--—
Samahani kwa kukurudisha shule lakini....
&
Usitumie taaluma kupotosha.
----—--------★------------–-----—
Specialist88
BACK TO TANGANYIKA.
UKAWA TUMAINI 2015
 
Hasira zipo humu JF!! Angalia matokeo ya kalenga na chalinze!!

Wengi wenye hasira na serikali hawapigi kura,
Kama huamini angalia matokeo ya serikali za mitaa

Nakubaliana na wewe kabisa na hata viti vya serikali ya mtb Ccm itapata vingi tu labda kupita vya upinzani.

Ila tatizo langu utafiti huu umefanywa wapi na wamehojiwa watu wepi? Halafu kuna wakati najihisi mimi kama si Mtanzania maana sijawahi kuhojiwa na watu wa hizi tafiti zaidi ya watu wa sensa na watu wa takwimu, swali langu hawa hizi tafiti huwa wanafanyia wapi?

Tanzania ni nchi ngumu sana hakuna wa kuaminika watu wanaweza wakapewa pesa za kwenda field wakajifungia mahotelini na kuanza kupika taarifa. Wasomi walishatusaliti mtu wa mwisho kumuamini alikuwa Profesa Shivji lakini wote mmeona matokeo yake.

Short and clear Ccm ina uwezo wa kushinda chaguzi zijazo lakini ukiwahoji Watanzania huwezi kupata asilimia kubwa wanaisapoti Ccm, hata wewe do ur home work kuanzia vijiweni kwenye madaladala makazini na hata kwa baadhi ya wajumbe wa nyumba 10 mijadala yao hawakubaliani na Ccm, sasa hawa wav wa tafiti huwa wanawahoji watanzani gani?
 
Wanalipwa na nani kufanya tafiti hizi? Watuache hatuhitaji tena upuuzi kama wa Synovet.

Namuheshimu sana Rakesh lakini huku sasa anataka kujivunjia heshima yake bure, watu wana hasira halafu leo utuambie eti Ccm inapendwa kwa 54% this is totaly stupidity.

Niww na Pro CDM hapa Jf ndio munajiona wengi wakati humu ndani hamufiki hata laki
 
ocampo four,

Nasikia hata Mtumishi wa Mungu, Nabii TB JOSHUA, naye alishamtabilia kuwa yeye ENL, atakuwa Rais wa 5 wa Tanzania!

Huyo ni mtumishi mnafiki hana uungu wala unabii wowote kama ni nabii wa mungu wa kweli aonyeshe walipo wale watoto wa kike waliotekwa na Boko haramu au awe anatabili matukio ya kigaidi yanayotokea nchini kwake Nigeria kila siku.Nabii wa uongo kamwa maandiko yasemavyo anatumika kisiasa kama Gwajima .
 
Back
Top Bottom