Twaweza: Addressing common concerns raised about our opinion poll survey

Twaweza: Addressing common concerns raised about our opinion poll survey

Sijawahi ona research inayotoa table zenye floating frequencies without absolute numbers...
 
mkumbo kitila leo kawaambia watz waache uvivu wa kufikiri,
utafiti wa kisayansi daima unajibiwa kwa hoja siyo kukurupuka tu kama hawa ukiwa
 
Whatever it will be..Lowassa is our president..full stop
 
Mliniacha njia panda , now i can understand. Thank you for coming back.
 
Hii nguvu wanayotmia kujitetea,wangeitumia kufanyia utafiti uliosahihi.
 
Hii ndiyo Tanzania ambayo upumbavu umekuwa ni werevu.

Kuna baadhi ya watu walikuwa wanaitetea Twaweza wakati ule ilipotoa research ambayo ilionyesha Lowassa anaongoza. Leo wamekuwa mbele katika kuupinga utafiti kwa sababu mtu wao ameshuka kisiasa.

A week is a long time in politics!
 
Hii ndiyo Tanzania ambayo upumbavu umekuwa ni werevu.

Kuna baadhi ya watu walikuwa wanaitetea Twaweza wakati ule ilipotoa research ambayo ilionyesha Lowassa anaongoza. Leo wamekuwa mbele katika kuupinga utafiti kwa sababu mtu wao ameshuka kisiasa.

A week is a long time in politics!

It's purely embarassing to see how low some of the smarter people within Ukawa have stooped! Kuna watu walikuwa in record wakishadadia utafiti wa Twaweza mwaka jana leo hii wanakuja na malalamiko ya kitoto.
Hii ya total kuwa zaidi ya 100% kidogo ndiyo imewaumbua. Mpaka kwenye Ipsos polls wamerukia hiyo.
Hawa wasio na elimu kubwa sina tatizo nao. Aibu kubwa ni hao wanaojiita wasomi kama akina Prof Baregu. Wamejidhalilisha sana!
 
"will UKAWA appear on the ballot paper during 2015 general election?"

WHAT EXACTLY DID THE QUESTION INTEND TO MEASURE? WHY ASK SUCH A STUPID QUESTION? I SUGGEST THE QUESTION COULD BE POSTED TO NEC RATHER THAN THE COMMON CITIZENS.

the other ambigous issues that have not yet been clarified are:

1. the purpose of research.

2. the organization (CCM?) that funded the research.

3. political affiliations (CCM, UKAWA, OTHER PARTIES) of the respondents.

4. age, gender and education levels of respondents, etc.

5. how and where the respondents were consulted, etc. this's because numerators might have visited CCM branches to get the data rather than picking the respondents randomly.

6. geograthical areas of research and how they were selected.

unless these and OTHER doubts are clearly answered, the research remains vague, useless and bogus.
 
Hawajajibu swali la msingi, ukawa ni chama cha siasa cha wapi, mgombea wake ni nani?

Swali la pili ambalo hawajajibu, kwa nini waliwapa watahiniwa power bank na simu kisha wakawahoji maswali.

Wangejibu hayo maswali ningewaona kweli ni watafiti halisi.
 
Wamejiuma uma maswali ya msingi hawajajibu.Kwa nini waliiweka Ukawa kwenye poll.Kwa nini walihonga simu.Kwa nini wanajitetea sana.Mahusiano ya kikada kati ya huyo nani sijui na Makamba
 
Explain this picture also

Mkuu hizo picha Mimi niliwaona wakiwa wamevaa hivo wakati wa mdahalo uliorushwa star TV wakati wa mchakato wa kura za maoni ndani ya ccm pale chimwaga Dodoma washiriki walikua Hamis Mwigulu na Makamba alihudhuria kiteknolojia hats hizo of is I zinaonekana n za huko chimwaga
 
Wamejiuma uma maswali ya msingi hawajajibu.Kwa nini waliiweka Ukawa kwenye poll.Kwa nini walihonga simu.Kwa nini wanajitetea sana.Mahusiano ya kikada kati ya huyo nani sijui na Makamba
Imeelezewa sana na watu tofauti humu ila umeamua kutokuelewa, kichwa chako kina UJINGA na bahati mbaya ni mzigo wako, hamna wa kukusaidia kukibeba.
 
Kwanini wanalazisha tukubali maoni ya sample 1800 ilhali maoni ya watu lakitatu yalikataliwa?

Watujibu na hilo then tusonge mbele.

Waliokataa maoni 300,000 ni wanaccm kwa ajili ya maslahi binafsi na chuki kwa rasimu ya katiba ya Jaji Warioba. Kwa hiyo na sisi tuwakatae wabunge wa ccm ili wasiwe wengi tena tuweze kuirudisha katiba ya wananchi.
 
Majibu yote yapo kwenye report yao,usiwe mvivu wa kusoma.


Utafiti wa TWAWEZA umefanywa mpaka tarehe 8/09, kampeni zimeanza tarehe 23/08, hivyo usidanganywe kuwa kampeni hazikuwa zimeanza.


Leo umetoka utafiti wa SYNOVATE ambao wenyewe umefanyika tarehe 4/9 mpaka tarehe 22/09, matokeo yake ni bado Magufuli 62% na Lowassa 31%.

acha uongo!!"ule ni utafiti wa synovate??
umetangazwa na chombo gani cha habari??
yaani IT wa masaki mnakaa mnatunga utafuti wenu halafu mnasingizia synovate!!!
ndo mlivyotungwa ile barua ya ulaya kumkataa lowasa, ,,
ebu acheni kujidhalilisha,,source mloweka haina nembo,saini,wala uthibitisho wwte,,,kama upo wekeni hapa,ss hv,,,

shame on u
 
Umejibiwa kitaratibu za tafiti bado unabisha, yaani lengo lenu ni ziwe upande wa Loassa tu basi. Habari ndo hiyo Magifuli mdogo mdogo anapiga pushap anainuka anatrot kuelekea ikulu, anapiga pushap anainuka anatrot anaelekea ikulu!
Acheni kutumia tafiti za eti NYOMI ile hatari.
Uko sahihi kabisa, lakini ingekuwa busara zaidi kama ungejibu hoja ya "kwa nini maoni ya watu 300,000 (laki tatu) yalikataliwa?" na bado layman anatakiwa aamini maoni ya watu 1800?
 
Umejibiwa kitaratibu za tafiti bado unabisha, yaani lengo lenu ni ziwe upande wa Loassa tu basi. Habari ndo hiyo Magifuli mdogo mdogo anapiga pushap anainuka anatrot kuelekea ikulu, anapiga pushap anainuka anatrot anaelekea ikulu!
Acheni kutumia tafiti za eti NYOMI ile hatari.

hili ndio tatizo la maCCM. baada ya kuishiwa hoja majukwaani yameamua kujifungia ndani kupika tafiti za kipuuzi. hebu jibu kwani maoni ya watu 3000 yalikataliwa halafu mnataka tuamini haya maoni ya watu 1800 ambao hatuambiwi wanatoka vijiji, kata, tarafa, wilaya, na mikoa ipi. msidhani watanzania wa sasa ni wapumbavu kama mlivyo.
 
We need explanation that is convicing particularly on how representative this survey was.

Round-off error and other things in this survey are insignificant.
 
Mbona hawajibu hoja ya kuwapa simu Respondents wao? Unawezaje kuwapa simu kesha useme ni Random sampling?

Je kwa hali ya kisiasa ilivyo, Kwanini hawakutoa distribution of charts based on geographical location?

Hoja ya Vijana na Wazee mbona hawajaizungumzia?

Hoja ya timing mbona hawajaizungumzia. I think they better shut up kuliko kuja kuzidi kutufanya tuwaone ni wapuuzi
 
Back
Top Bottom