Thanks Mkuu, duh gari iko far, far away from my budgetNunua Boxer iko juu na ina nguvu zaidi ya TVS. Kama unataka isiyosumbua kwenye matope nunua gari lenye four wheel
Shukrani Mkuu.Hazina tofauti yoyote . kama unataka pikipiki ya kutumia kwenye tope nunua XL250
Sawa sawa mdau.Kama huna XL ya ukweli basi chukua boxer 150.
Sawa mkuu ila nafikiri honda price yake ipo juu kidogo ukilinganisha na TVS au boxer.Napita lakin ila honda ndio mashine ya vijijini kwa shughuli Zote
Nimetumia boxer na tvs...
Boxer ni nzuri lakini kama ni mtu wa kukimbia sana chukua tvs maana inatulia chini hata kama hauna mzigo... Boxer ukigusa 65, 70 inakua haina balance kama tvs. Hata ulaji mafuta tvs iko poa zaidi, fundi wangu alinambia tvs yalikua masahihisho ya mhindi kwa makosa aliyofanya kwnye boxer (ila angalia mkoa uliopo kuhusu spare parts)
Sawa mkuu, nashukuru kwa mchanganuo wa kitaalam na kiufundi.Nimetumia boxer na tvs...
Boxer ni nzuri lakini kama ni mtu wa kukimbia sana chukua tvs maana inatulia chini hata kama hauna mzigo... Boxer ukigusa 65, 70 inakua haina balance kama tvs. Hata ulaji mafuta tvs iko poa zaidi, fundi wangu alinambia tvs yalikua masahihisho ya mhindi kwa makosa aliyofanya kwnye boxer (ila angalia mkoa uliopo kuhusu spare parts)
Bei gani?View attachment 421483
Hii piki piki ina kiti kireeefu kama benchi la muuza kahawa. Unaweza ukapakia familia yako yote hapa... Sema tu itabidi ubadili tairi uweke zile zenye kashata...
Ooh, nimekusoma. Now Boxer zinaenda kwenye 2.2MBei gani?