Kwenye Tvs Star X sio kitu. Ni kama katika pikipiki wenzio wanataja Honda, Yamaha, Bmw ww unataja Toyo. Hivi utajiona mzima kweli???
Tv nzuri ni zile zinazotengenezwa na makampuni makubwa ya Electronics Eg. Lg, Sony, Samsung, Philips, Panasonic, Nk.
Pia TV zina technology hasa upande wa resolution, Display Technology, Input and Output Medias.
Sasa iyo Star X hata Optical port haina. Wala HDMI Out haina. Sasa kama unataka kukonect na home thieter unafanyaje???
Kwa mtu ambae hajui technology ataona poa tu ilimradi inaonesha bora liende