kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
habari wakuu, naomba msaada kwa wadau waliopo zanzibar, kuna duka linaitwa Zanzibar Electronics wanauza TV bei nzuri sana nilitaka kujua kama kuna mtu aliwahi nunua kitu hapo please njoo PM.
Liko Zanzibar au barahabari wakuu, naomba msaada kwa wadau waliopo zanzibar, kuna duka linaitwa Zanzibar Electronics wanauza TV bei nzuri sana nilitaka kujua kama kuna mtu aliwahi nunua kitu hapo please njoo PM.
Mbona hata mbeya yapo... kitu mtumba from SA kinapitia border la wajanja Tunduma.. By the way ninamziki mmoja nilinunuaga pande zile dunia nzima wanaushangaahabari wakuu, naomba msaada kwa wadau waliopo zanzibar, kuna duka linaitwa Zanzibar Electronics wanauza TV bei nzuri sana nilitaka kujua kama kuna mtu aliwahi nunua kitu hapo please njoo PM.
mkuu hili ndo tangazo lenyeweLiko Zanzibar au bara
umeona mkuu yaani hiyo bei hadi me nimeshangaa.Mbona hata mbeya yapo... kitu mtumba from SA kinapitia border la wajanja Tunduma.. By the way ninamziki mmoja nilinunuaga pande zile dunia nzima wanaushangaa
Unauza kwa bei gani?Hata mie nauza hizo tv niko mkoani morogoro kwa mawasiliano piga 0713449460
Nimeshawasafirishia watu wengi sana mizigo yao, na wengine huwa wanakuja wenyewe kisha nawatembeza madukani,Na mimi naitaji Tv Samsung yenye king'amuzi (builty In)
Morogoro sehemu ganiLiko Zanzibar au bara
Hata mie nauza hizo tv niko mkoani morogoro kwa mawasiliano piga 0713449460
Ninayo samsung series 5 inch 32 mpyq sh 650000Na mimi naitaji Tv Samsung yenye king'amuzi (builty In)
size gan unataka na kampuni gani?Na mimi naitaji Tv Samsung yenye king'amuzi (builty In)
Vipi kuhusu kodi hapo?Nimeshawasafirishia watu wengi sana mizigo yao, na wengine huwa wanakuja wenyewe kisha nawatembeza madukani,
tv ya milioni moja na lakitatu Dar ila zanzibar unaipata kwa laki saba hadi nane