tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Huwa hawana muda wa kijifunza kwa wenzao kazi yao kubwa ni kujiona masupastaa na kupoteza muda kukaa vijiweni na kupiga mizinga ka vile hawana mwisho wa mwezi.
esp. radio moja! kuna yule mtaalam wa kunyoa kibwenzi huwa anaboa sana huku akijitamba mkongwe,ati jezi no 9
...kwa mfano mechi za Senior TUSKER Chalenge Cup 2010 mbona wanarusha vizuri hadi slow motion safi na inaonekana wana camera nyingi uwanjani na still kwenye taarifa ya habari wahaonyeshi clip za amgoli. Mfano Kilimanjaro Stars Vs Uganda jana, nilitegemea wangeonyesha hata vile Kaseja anaokoa Penati lakini ni blaa blaa tu!!!
Tatizo ni namna wanavyorusha au kurekodi matukio ya kimichezo. Kwa mfano,kwny soka iwe ITV au TBC1 unakuta wanatumia kamera 2 au 3 tu. Ivyo hata kiwango cha urushaji wa matukio kwny mechi husika unakuta duni. Angalau Star TV wanajitaidi kiasi fulani. Pia mafundi wa station za kibongo hawako creative,na wengi wao hawajasomea izo kazi zaidi ya kuzifanya kwa mazoea.
...kwa mfano mechi za Senior TUSKER Chalenge Cup 2010 mbona wanarusha vizuri hadi slow motion safi na inaonekana wana camera nyingi uwanjani na still kwenye taarifa ya habari wahaonyeshi clip za amgoli. Mfano Kilimanjaro Stars Vs Uganda jana, nilitegemea wangeonyesha hata vile Kaseja anaokoa Penati lakini ni blaa blaa tu!!!