TV StarX nch 43 inauzwa

Kwani unapodanganya unatakiwa uwe wapi? Eti "Kama nadanganya nisingekuwa hapa"
anaye danganya hawez kukupa location ya anapo ishi mzee najua changamoto za bznes za online mshua
sina shida ya kukuongopea nauza coz nimepata ingne n hvyo tu siuz kwa sababu ina shida
 
anaye danganya hawez kukupa location ya anapo ishi mzee najua changamoto za bznes za online mshua
sina shida ya kukuongopea nauza coz nimepata ingne n hvyo tu siuz kwa sababu ina shida
Hii vita uliyoingia sasa acha tuachane na biashara tuanze kuparuana.

Matapeli huwa hawatoi location? Mbona unaonekana mweupe sana. Tapeli anatengeneza location feki na anauza mzigo wake kisha anarudi kukaa kwenye makazi yake rasmi.

Mimi wala sitaki kujua unaiuza kwa sababu ya shida au unazo 10
 
Hii vita uliyoingia sasa acha tuachane na biashara tuanze kuparuana.

Matapeli huwa hawatoi location? Mbona unaonekana mweupe sana. Tapeli anatengeneza location feki na anauza mzigo wake kisha anarudi kukaa kwenye makazi yake rasmi.

Mimi wala sitaki kujua unaiuza kwa sababu ya shida au unazo 10
sasa mm sio taper thats why sijaweka location fek na hata namba za simu hzo angalia kama majina yanatofaut
au unataka na kitamburisho cha nida
 
sasa mm sio taper thats why sijaweka location fek na hata namba za simu hzo angalia kama majina yanatofaut
au unataka na kitamburisho cha nida
NIDA haijawahi kutoa kitu kinaitwa KITAMBURISHO hicho chako ni feki ndiyo maana naona kuna shida hapa.
 
Hii vita uliyoingia sasa acha tuachane na biashara tuanze kuparuana.

Matapeli huwa hawatoi location? Mbona unaonekana mweupe sana. Tapeli anatengeneza location feki na anauza mzigo wake kisha anarudi kukaa kwenye makazi yake rasmi.

Mimi wala sitaki kujua unaiuza kwa sababu ya shida au unazo 10
and wala hii s vita n ww unaona hvyo mi nakujibu vile umeuliza
 
Acha kudanganya watu, usifikiri wewe ndiye mtu wa kwanza kumiliki TV Tanzania.

Nani mwenye akili timamu anaweza kununua TV yenye mstari kutoka dukani na asione ni tatizo.
na kabla ya kununua lazima waijalibishe kama ina hitilafu..sasa unaona mstari ambao utakua kero kwa mtazamaji..lazima wabadilishe..Jamaa anadanganya hapa!! labda auze 150k kwa mtu mwenye uhitaji hiyo 450k mtu anapata flat nzuri tu haina mstari
 
na kabla ya kununua lazima waijalibishe kama ina hitilafu..sasa unaona mstari ambao utakua kero kwa mtazamaji..lazima wabadilishe..Jamaa anadanganya hapa!! labda auze 150k kwa mtu mwenye uhitaji hiyo 450k mtu anapata flat nzuri tu haina mstari
 
na hata hyo ninayo ichukua pia ina mistar mitatu n nch50
sometimes ukivijua hv vitu havina shida najua kioo kinacho tengenezeka na kisicho tengenezeka
karibu hata kwa ushauri mshua nabufundi pia ukitaka
Asante umeeleweka mpka hapo hiko kioo hakitengenezeki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom