Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,760
Kwani unapodanganya unatakiwa uwe wapi? Eti "Kama nadanganya nisingekuwa hapa"kama nadanganya nisingeweka hapa na niuza ipo home ninapo ishi mda wote nipo sasa nakudanganya vipi hapo
Kwani unapodanganya unatakiwa uwe wapi? Eti "Kama nadanganya nisingekuwa hapa"kama nadanganya nisingeweka hapa na niuza ipo home ninapo ishi mda wote nipo sasa nakudanganya vipi hapo
anaye danganya hawez kukupa location ya anapo ishi mzee najua changamoto za bznes za online mshuaKwani unapodanganya unatakiwa uwe wapi? Eti "Kama nadanganya nisingekuwa hapa"
Hii vita uliyoingia sasa acha tuachane na biashara tuanze kuparuana.anaye danganya hawez kukupa location ya anapo ishi mzee najua changamoto za bznes za online mshua
sina shida ya kukuongopea nauza coz nimepata ingne n hvyo tu siuz kwa sababu ina shida
sasa mm sio taper thats why sijaweka location fek na hata namba za simu hzo angalia kama majina yanatofautHii vita uliyoingia sasa acha tuachane na biashara tuanze kuparuana.
Matapeli huwa hawatoi location? Mbona unaonekana mweupe sana. Tapeli anatengeneza location feki na anauza mzigo wake kisha anarudi kukaa kwenye makazi yake rasmi.
Mimi wala sitaki kujua unaiuza kwa sababu ya shida au unazo 10
NIDA haijawahi kutoa kitu kinaitwa KITAMBURISHO hicho chako ni feki ndiyo maana naona kuna shida hapa.sasa mm sio taper thats why sijaweka location fek na hata namba za simu hzo angalia kama majina yanatofaut
au unataka na kitamburisho cha nida
and wala hii s vita n ww unaona hvyo mi nakujibu vile umeulizaHii vita uliyoingia sasa acha tuachane na biashara tuanze kuparuana.
Matapeli huwa hawatoi location? Mbona unaonekana mweupe sana. Tapeli anatengeneza location feki na anauza mzigo wake kisha anarudi kukaa kwenye makazi yake rasmi.
Mimi wala sitaki kujua unaiuza kwa sababu ya shida au unazo 10
Sitaki namba ya KITAMBURISHO fekiok sio kitamburisho nakupa namba ya nida basi
Unajua kila sehemu ni asubuhi? Aliyekwambia nilipo ni asubuhi nani?asubuh njema mshua
na kabla ya kununua lazima waijalibishe kama ina hitilafu..sasa unaona mstari ambao utakua kero kwa mtazamaji..lazima wabadilishe..Jamaa anadanganya hapa!! labda auze 150k kwa mtu mwenye uhitaji hiyo 450k mtu anapata flat nzuri tu haina mstariAcha kudanganya watu, usifikiri wewe ndiye mtu wa kwanza kumiliki TV Tanzania.
Nani mwenye akili timamu anaweza kununua TV yenye mstari kutoka dukani na asione ni tatizo.
na kabla ya kununua lazima waijalibishe kama ina hitilafu..sasa unaona mstari ambao utakua kero kwa mtazamaji..lazima wabadilishe..Jamaa anadanganya hapa!! labda auze 150k kwa mtu mwenye uhitaji hiyo 450k mtu anapata flat nzuri tu haina mstari
Niuzie hiyo kubwa kama hutaki kuwa na mbilinimenuna na huo mstar n miezi sita sasa ninayo na hakuna shida naiuza kwa sababu nimechukua ingne kubwa zaidi ya hii thats why nikasema mazungumzo yapo
kama unaita nakupa waranty miez mitatu
Asante umeeleweka mpka hapo hiko kioo hakitengenezeki.na hata hyo ninayo ichukua pia ina mistar mitatu n nch50
sometimes ukivijua hv vitu havina shida najua kioo kinacho tengenezeka na kisicho tengenezeka
karibu hata kwa ushauri mshua nabufundi pia ukitaka